sir None
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 428
- 214
Niliomba Masaada kwenye thread Kama mbili jinsi ya kupata pesa yangu kidogo kutoka mbet niliyoshinda watu wanapita na kuangalia tu kama nyanya chungu. Nilikuwa na mtaji wa shilingi 2000 sasa umekata na nahitaji hyo pesa lakn hakuna anayenisaidia. Basi acha nikae bola kubeti si ndo raha tenure.