Kwanini wachezaji wa mpira wa miguu katika vilabu vikubwa wanalipwa mishahara midogo?

Kwanini wachezaji wa mpira wa miguu katika vilabu vikubwa wanalipwa mishahara midogo?

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Nimeona kwenye clip ikitaja mishahara ya wachezaji wa Klabu ya Yanga na kuja kugundua kuwa wachezaji wazawa ukiwalinganisha na wachezaji wa nchi za kigeni wanalipwa mishahara midogo sana.

Kuna wachezaji wazawa ambao ndiyo tegemeo la klabu wanalipwa wastani wa T.shs. millioni tano kwa mwezi huku mchezaji wa kigeni analipwa zaidi ya T.shs. millioni ishirini na moja mpaka milioni ishirini na nane kwa mwezi.

Tofauti hii ya mishahara ni mikubwa mno ni vema Klabu ikarekebisha mishahara ya wachezaji wazawa na wengi wao ndo tegemeo na ndiyo wanaoleta ushindi kwa klabu.
 
Daah hizi timu hazijali wazawa kabisa,mfano clotuas chama wa simba anahitaji million hamsin ndo asaini mkaba mpya,siyo saw kabsa
 
Nimeona kwenye clip ikitaja mishahara ya wachezaji wa Klabu ya Yanga na kuja kugundua kuwa wachezaji wazawa ukiwalinganisha na wachezaji wa nchi za kigeni wanalipwa mishahara midogo sana.

Kuna wachezaji wazawa ambao ndiyo tegemeo la klabu wanalipwa wastani wa T.shs. millioni tano kwa mwezi huku mchezaji wa kigeni analipwa zaidi ya T.shs. millioni ishirini na moja mpaka milioni ishirini na nane kwa mwezi.

Tofauti hii ya mishahara ni mikubwa mno ni vema Klabu ikarekebisha mishahara ya wachezaji wazawa na wengi wao ndo tegemeo na ndiyo wanaoleta ushindi kwa klabu.
Comrade, wewe hapo kwa mwezi unaliowa mshahara wa shilingi ngapo mpaka upate ujasiri wa kuijadili mishahara ya wenzako?

Na kama utasema umejiajiri; bado unaweza kutuwekea hapa jukwaani mchanganuo wa mapato yako kwa mwezi. Ni milioni ngapi?

Halafu ni kwa nini tunapenda kulinganisha mishahara ya watu ambao wameingia mikataba wenyewe na waajiri wao?

Mbona huulizi mshahara wa mchezaji kama Mbwana Samatta kama na yeye analipwa mshahara wa milioni 5 kwa mwezi huko aliko?
 
Nimeona kwenye clip ikitaja mishahara ya wachezaji wa Klabu ya Yanga na kuja kugundua kuwa wachezaji wazawa ukiwalinganisha na wachezaji wa nchi za kigeni wanalipwa mishahara midogo sana.

Kuna wachezaji wazawa ambao ndiyo tegemeo la klabu wanalipwa wastani wa T.shs. millioni tano kwa mwezi huku mchezaji wa kigeni analipwa zaidi ya T.shs. millioni ishirini na moja mpaka milioni ishirini na nane kwa mwezi.

Tofauti hii ya mishahara ni mikubwa mno ni vema Klabu ikarekebisha mishahara ya wachezaji wazawa na wengi wao ndo tegemeo na ndiyo wanaoleta ushindi kwa klabu.
Mikataba muhimu.
 
Nafikiri ukiona unacholipwa hakiendani na performance yako unatakiwa uangalie changamoto pengine. Wageni wengi wana Mawakala wazuri kwenye negotiation nafikiri.
 
Nimeona kwenye clip ikitaja mishahara ya wachezaji wa Klabu ya Yanga na kuja kugundua kuwa wachezaji wazawa ukiwalinganisha na wachezaji wa nchi za kigeni wanalipwa mishahara midogo sana.

Kuna wachezaji wazawa ambao ndiyo tegemeo la klabu wanalipwa wastani wa T.shs. millioni tano kwa mwezi huku mchezaji wa kigeni analipwa zaidi ya T.shs. millioni ishirini na moja mpaka milioni ishirini na nane kwa mwezi.

Tofauti hii ya mishahara ni mikubwa mno ni vema Klabu ikarekebisha mishahara ya wachezaji wazawa na wengi wao ndo tegemeo na ndiyo wanaoleta ushindi kwa klabu.
hata madada poa bei tofauti japo wate wapo sokoni
 
Tumekua kwenye Dimbwi la Umaskini.Chanzo kikuu cha kukubali kila kitu.
Mzazi anastafu na Kiinua mgongoncha 32M kwa kazi ya miaka 30-35.

Halafu tunaaminishwa kuwa hela nyingi ni kama anasa.
Tupo nje ya mfumo wa kupokea pesa nyingi.
 
Nimeona kwenye clip ikitaja mishahara ya wachezaji wa Klabu ya Yanga na kuja kugundua kuwa wachezaji wazawa ukiwalinganisha na wachezaji wa nchi za kigeni wanalipwa mishahara midogo sana.

Kuna wachezaji wazawa ambao ndiyo tegemeo la klabu wanalipwa wastani wa T.shs. millioni tano kwa mwezi huku mchezaji wa kigeni analipwa zaidi ya T.shs. millioni ishirini na moja mpaka milioni ishirini na nane kwa mwezi.

Tofauti hii ya mishahara ni mikubwa mno ni vema Klabu ikarekebisha mishahara ya wachezaji wazawa na wengi wao ndo tegemeo na ndiyo wanaoleta ushindi kwa klabu.
Milioni 5 hivi unaona ni ndogo mkuu? Expert ni expert tu mkuu ,foreigner ni foreigner tu ,hata wewe ukineda nchi nyingine utalipwa fedha nyingi kuliko wazawa maana kuna hela inakatwa za vibali inaingia serikalini...Kuna % ya meneja hapo.
 
Back
Top Bottom