Kuna wadada ving'ang'anizi sana! Unakutana nae hata wiki haijaisha anaanza kuleta habari za ndoa. Hata hamjasomana vizuri kujuana tabia yeye anaweka ndoa mbele kuliko kukufahamu wewe mwoaji.
Katika ka-research kangu kadogo nimegundua mambo yafuatayo:
- wadada wa aina hiyo mara nyingi huwa wanataka kuosha kwa wenzie na jamii kwa ujumla kwamba nao waliolewa kwa ndoa, potelea mbali hata kama itadumu kwa wiki moja.
- pressure kutoka kwa wenzie walioolewa.
- frequency ya kuachana na maboy-friend na yenyewe inachangia binti kutafuta permanent residence!
the more inavyochakaa, the more kama njemba zipo nyingi!
oraiti, kumbe bora ichakae kweye permanent residence au sio Pauline?
ni kwa sababu ya ile kitu yetu,the more you have partners the more inachakaa and less chances of finding someone who will be interested na hio bidhaa...so we always pray tunayempata ndio huyo atayeclose deal!!!:redfaces::redfaces:
Kumbe ndio maana siku hizi mkitutongoza mnagusia habari ya ndoa mnafikiri tunapenda kuolewa.
Maisha ya ndoa ni headache kwa kweli.
Kuna wadada ving'ang'anizi sana! Unakutana nae hata wiki haijaisha anaanza kuleta habari za ndoa. Hata hamjasomana vizuri kujuana tabia yeye anaweka ndoa mbele kuliko kukufahamu wewe mwoaji.
Katika ka-research kangu kadogo nimegundua mambo yafuatayo:
- wadada wa aina hiyo mara nyingi huwa wanataka kuosha kwa wenzie na jamii kwa ujumla kwamba nao waliolewa kwa ndoa, potelea mbali hata kama itadumu kwa wiki moja.
- pressure kutoka kwa wenzie walioolewa.
- frequency ya kuachana na maboy-friend na yenyewe inachangia binti kutafuta permanent residence!
Tena hatupendi ndio maana twaenda out............(kwa kificho lakini)
si kweli kabisa Sir God creative bana, hii kitu mpaya daily inavyopata mteja mpya kwani machangu hawaolewi,
halafu kutokana na uchangiaji wako am worried na jinsia yako we si wa kike..............
ni kwa sababu ya ile kitu yetu,the more you have partners the more inachakaa and less chances of finding someone who will be interested na hio bidhaa...so we always pray tunayempata ndio huyo atayeclose deal!!!:redfaces::redfaces:
With all this Chiniese products na cosmetic surgeries bado inachakaa???? I doubt it. Lakini what I think kinachochakaa zaidi ni heshima, na status katika Jamii.
Hapa mimi ndio nashangaa kabisa,hivi huwa inachakaa,inachakaa vipi?Na ikichakaa inakuwaje?Mbona mimi nilikuwa namchakachua dada yake baba mwenye nyumba wangu, ana miaka 63 na ana watoto wanane wengine wakubwa kunizidi na wala sikuona uchakavu wake.Hebu mnisaidie tu inachakaa vipi hiyo kitu?
Hapa mimi ndio nashangaa kabisa,hivi huwa inachakaa,inachakaa vipi?Na ikichakaa inakuwaje?Mbona mimi nilikuwa namchakachua dada yake baba mwenye nyumba wangu, ana miaka 63 na ana watoto wanane wengine wakubwa kunizidi na wala sikuona uchakavu wake.Hebu mnisaidie tu inachakaa vipi hiyo kitu?
kama unaamini huwa hazichakai baki ukiwa unaamini hivyo ila hukuwa na haja ya kudanganya hapa na hii stori ya kutunga hata mtoto atajua hapa umeongopa,sijui ili iweje mwanawane????:redfaces::redfaces::redfaces::teeth:
Kwa hiyo na wewe ulikutana na fataki wa kike au,
Anyway labda ndo hayo wasemayo YA KICHINA.
ni kwa sababu ya ile kitu yetu,the more you have partners the more inachakaa and less chances of finding someone who will be interested na hio bidhaa...so we always pray tunayempata ndio huyo atayeclose deal!!!:redfaces::redfaces: