Kwanini wadada (Females) Wanapenda Zaidi Ndoa Kuliko Mwoaji?

Kwanini wadada (Females) Wanapenda Zaidi Ndoa Kuliko Mwoaji?

Sasa huamini nini hapo mpaka uniambie ya kutunga,kwani kuna nini cha ajabu hapo ambacho hakiwezekani?Nikikusimulia experience yangu katika haya mambo utashangaa na nadhani server ya JF itajaa kabla sijamaliza.

mnh kibibi cha miaka 63 kabisaaa,wacha niwe Tomaso...mpaka nione ndio ningeamini,
 
Nimesikia Stories kwa wale ambao huwa ni wagumu kukubali ndoa mara nyingi kuna mabinti wachache (I mean wachache sio wengi) huwa wanawatrap kwa kubeba mimba ili mwisho wa siku mtu hakose cha kufanya bali kuoa

Na ndo maana siku hizi ndoa nyingi watu wanaoana wakiwa na mimba hiyo
ni njia ambayo wadada wachache wamejua jinsi ya kuwateka wanaume na kuwafanya wawaoe lol!!!!
 
Hili la kubeba Mimba sio kuwa wanaume wanapima kama kuna kitu ndani na huwa shindikizo la wanaume?
Na ndo maana siku hizi ndoa nyingi watu wanaoana wakiwa na mimba hiyo
ni njia ambayo wadada wachache wamejua jinsi ya kuwateka wanaume na kuwafanya wawaoe lol!!!!
 
mnh kibibi cha miaka 63 kabisaaa,wacha niwe Tomaso...mpaka nione ndio ningeamini,



Nazidi kukushangaa,kwani hana?Na ujue kadri anavyozidi kuzeeka ndio inavyorudia utoto.Haya ni maumbile tu mama,na yanatofautiana kati ya mtu na mtu ni kama sisi wanaume utakuta huyu ana kibamia na mwingine anatikiti maji na nyie ndio hivyo utakuta huyu ana mfereji na mwingine ana mtaro, hayo ya kuchakaa na mimi nakataa kama wewe unavyokataa habari yangu na bibi kizee wangu.
 
Nazidi kukushangaa,kwani hana?Na ujue kadri anavyozidi kuzeeka ndio inavyorudia utoto.Haya ni maumbile tu mama,na yanatofautiana kati ya mtu na mtu ni kama sisi wanaume utakuta huyu ana kibamia na mwingine anatikiti maji na nyie ndio hivyo utakuta huyu ana mfereji na mwingine ana mtaro, hayo ya kuchakaa na mimi nakataa kama wewe unavyokataa habari yangu na bibi kizee wangu.


nachojua mie watu-wanawake wanafika ukomo wa kufanya mapenzi wakiwa na umri wa miaka 50-55(menopause)...sasa wewe kukuruka na bibi wa miaka 63 wengi hapa nadhani watashindwa kuamini na sio peke yangu....pia kama huamini maneno yangu ni sawa,siko hapa kumuaminisha kila mtu...kila mtu anajifunza kutokana na experience yake mwenyewe...
 
ni kwa sababu ya ile kitu yetu,the more you have partners the more inachakaa and less chances of finding someone who will be interested na hio bidhaa...so we always pray tunayempata ndio huyo atayeclose deal!!!:redfaces::redfaces:

sidhani kama upo sahihi sana. Inamaana wanaume tunapenda huko south kuliko nyie. Mi binafsi sisadiki na wala siwezi. Tatizo la wanawake ndo hilo na kama ukiweka msingi kama huo unajitia kitanzi. Hata inzi hufuata malisho yaliko na mlevi kutenmbea na mlevi mwenzie.

Kumpenda mwanamke kwa uzuri wake ni jambo jema lakini kumpenda yeye kama alivyo ni jambo jema zaidi. Kwa sababu inaweza tokea akaungua uso wake wa urembo, utammtimua??.
 
Back
Top Bottom