Kwanini Wadada Mnajisendoff Majumbani kwenu hata bila sherehe?

Kwanini Wadada Mnajisendoff Majumbani kwenu hata bila sherehe?

Ugumu wa maisha umewafanya watu wamekuwa takataka kabisa.

Wazazi wanapokea vibahasha vya mabazazi wanachekelea kama mazuzu tu, hata kama hayo mabazazi yameoa.

Mtu mzima na elimu yake anatukanwa pumbavu tena mbele ya kamesa halafu anacheka cheka na kujifanya hajasikia maisha yaendelee.

"Chakula na Njaa" hudhalilisha sana watu.

Kama Njaa Kali, Kodi Unadaiwa, Watoto Hawajala.

Wewe Mwenyewe Jua La Utosi Na Huna Tumaini Lolote.

Mabazazi Yatakuwa Yanakuja Kumgongea Hapo Hapo Kwako. Bora Aondoke Ubaki Kusikia Tu.
 
Issue ni mabinti kujitambua basi, binafsi siyo kwamba nimependa kupanga, kwanza hostel zilijaa, na nilipofikia ni mbali na chuo, nikaona heka heka za bajaji na haice siziwezi bora nipange tu karibu na chuo.

Kuna mmoja tumepanga wote nyumba moja, juzi naenda kusafisha chumba changu, nakuta anafua nguo za mpangaji mwenzake kuniona tu kashtuka, na vyombo kaosha.
Ukajua tayari analiwa huyu! Hapo tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...Uhuru Jinga... ni msamiati wenye maana pana sana.

Wenye matatizo siyo mabinti, bali ni baba zao wazazi.

Yaani mababa poa, mababa lofa, mababa wasiowajibikia maadili ya familia zao, wapo wapo tu wakidhania kupanga kwa binti na kujitegemea, wao huondolewa majukumu ya kutunza, ni ulofa halisi usio na neno mbadala la kutumia kufichia aibu hiyo.

Mababa waliokatwa ndimi kwa mahaba niue na kukabidhi nyadhifa dume kitandani kwa wake zao, wapo kupangiwa na kuongozwa.

Ni mababa wa heshima na si mababa watendaji, ni 'wanaume suruali' wa ukweli.

Hayo yote ninazungumzia makahaba wanaozalishwa kutoka kwenye milango ya ndoa tu, sina mamlaka ya kuwasemea mabinti wanaotokea kwenye milango ya single mothers.

Ni nani aliyewaambia msichana ama mwanamke hukua kwa wazazi wake na kwenda kujitegemea kwa kupanga kabla ya ndoa?

Unakuta msichana hata hajaenda kikazi 'mikoani' eti kapanga anajitegemea!

Hana kazi official huku wazazi wake wote wapo hai na wanaishi pamoja na wapo tu wakifurahi kwa kukenua meno bila kuhoji huo uozo!

Hapo utasema msichana ana matatizo, tusiwabebeshe lawama mabinti!

Binti asipopata mchumba na kuolewa, hubakia nyumbani kwa baba yake maisha yake yote.

Haruhusiwi 'kutanga na njia' kama mvulana atafutaye maisha.

Heshima ama staha ya binti ndiyo inayobeba heshima ya wazazi wake!

Kwani binti 'akizeekea' nyumbani akatulizana, kabla hajapata mume, kuna kitu anakuwa kakichelewa au kukikosa hadi akapange!

Ni maendeleo 'kabila gani' anayoyataka kwenye mapango asiyoweza kuyapata akiwa kwa wazazi wake?

Mimi binafsi binti yangu 'akifosi' kwenda kupanga huku nikiwa hai, anakuwa kanitusi na kunivua nguo hadharani.

Nitamfuta kwenye orodha ya watoto wangu, siyo kwa maneno kama wakoseavyo wazazi wengi, nitamfuta kisheria ili asiwe na baba akajitegemee vizuri apendavyo period


Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom