Kwanini Wadada Mnajisendoff Majumbani kwenu hata bila sherehe?

Ugumu wa maisha umewafanya watu wamekuwa takataka kabisa.

Wazazi wanapokea vibahasha vya mabazazi wanachekelea kama mazuzu tu, hata kama hayo mabazazi yameoa.

Mtu mzima na elimu yake anatukanwa pumbavu tena mbele ya kamesa halafu anacheka cheka na kujifanya hajasikia maisha yaendelee.

"Chakula na Njaa" hudhalilisha sana watu.

Kama Njaa Kali, Kodi Unadaiwa, Watoto Hawajala.

Wewe Mwenyewe Jua La Utosi Na Huna Tumaini Lolote.

Mabazazi Yatakuwa Yanakuja Kumgongea Hapo Hapo Kwako. Bora Aondoke Ubaki Kusikia Tu.
 
Ukajua tayari analiwa huyu! Hapo tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemaliza mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…