yes bt mikoa ya arusha & kilimanjaro ulabu unanyeka na rika zote.Lakini statistics bado zinasema mkoa wa mbeya ndiyo umekithiri kwa ulevi na vilevi
Inawezekana piakuna mjumbe hapo juu kadai wanatumia ajili ya baridi.
mjumbe hujalala tu mpaka mda huu.Inawezekana pia
Ndiyo kwanza kumekuchaaamjumbe hujalala tu mpaka mda huu.
kumbe nawe una janga la usingiziNdiyo kwanza kumekuchaaa
Hata Sina janga..ndiyo nimeamka nataka niianze weekendkumbe nawe una janga la usingizi
hongera sanaHata Sina janga..ndiyo nimeamka nataka niianze weekend
Unaianzia wap mkuu jumuiya?Hata Sina janga..ndiyo nimeamka nataka niianze weekend
Dah njoo Dar live hapa tunywe supu tumalizie zilizobakiHata Sina janga..ndiyo nimeamka nataka niianze weekend
Nipo sana bro. Majukumu mkuu.Jamaaa niaje aseee, umepotea
Swal muhim sana mkuukwanini wadada wa Dar, Tanga, Geita, Mara , Musoma, Chato waanza ngono wakiwa wadogo?
Labda hali ya hewa inachangia...ππ...? bila kusahau utamaduni wa eneo husika.sawa bt addiction yao kubwa ni ulabu sasa sijui kwanini.
kwani wewe unagegeda bange na pombe au papuchi? itakua genye zilikua hazijakukaza vizuri.Kuna limoja huko Arusha nililiopoa kumbe linavuta bangi,pombe kila aina.Kudaadeki sikulifanya kitu puuzi lile