Kwanini wadada wa kizanzibari hawana CHURA?

Nilitaka unijibu kisha nikuulize swali ambalo litamaliza hoja yako ila wewe umeamua kuja na majibu mengine.
Hilo ndo tatizo sasa mkuu.
Ungenipangia jawabu kabisa kabla ya kukujibu na baada ya kukuuliza.

Lakini basi umechelewa mkuu
Namnukuu mzee baba ambae mara nyingi husema "mimi sipangiwi"

Sasa hapo kwenye kauli za mzee namie naongezea neno "kujibu"
 
Hilo ndo tatizo sasa mkuu.
Ungenipangia jawabu kabisa kabla ya kukujibu na baada ya kukuuliza.

Lakini basi umechelewa mkuu
Namnukuu mzee baba ambae mara nyingi husema "mimi sipangiwi"

Sasa hapo kwenye kauli za mzee namie naongezea neno "kujibu"
Ok endelea na Umalaya wako.
 
Wakuu samahani naomba kuuliza tu,kwa nini wadada wa kizenzibari hawana chura asilimia kubwa?
Yani ni wakuhesabu sana ukiona ana chura ulizia utaambiwa eidha mama au baba wa huku tanganyika
Kwanini hili

Mkuu vp ulishaona chura yangu??
 
Wadada wengi huko sio mashabiki wa Yanga.
 
Reactions: Tui
Ndo asili yao makario ni genes tu ya mtu

am better here
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…