Kwanini wadada wengi hampendagi kutuunganisha Kimapenzi, sisi wakaka na rafiki zenu wa kike?

Nikajua ni wadada wa tumbo moja hawa hawanaga shida kabisa.
Anakutafutia zigo chuoni kwao huko analitongoza bila kukuambia, wikiendi anakuletea nyumbani analitelekeza kwako ujiongeze mwenyewe halafu badae analiuliza viph kaka kakwambia chochote!

Wewe unajiona kama kidume kumbe imepigwa asist moja hatari ya kisigino na dada yako lakini wewe unajiona umepiga free kick na ku-score.

Mungu awabariki sana dada zetu wa tumbo moja. kwanza tukiwa wadogo huwa mnatutunza kama mama zetu.
 
Mhhhhh
 
Wanawake huwa hawatukatai ila wanaletaga pozi tu, atakuambia NO ila bado upo kwenye akili yake ndo walivyoumbwa. Kwahyo ukitongoza kwingine anaona kabisa anaenda kukukosa na anaona kama mwenzake atafaidi sana
 
Hakikisha dada unayetaka akuunganishe umemtongoza yeye kwa geresha na awe alikukatalia.
 
Wanawake wana wivu sana

Hata kwenye 3some utakuta mimi kidume niko tayari demu wangu amlete shoga ake tujipigie 3some

Ila mwambie demu wako atafute mwenzake tupige huo mchezo hawakubaligi wana wivu sana hawa viumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…