Kwanini wadada wengi hampendagi kutuunganisha Kimapenzi, sisi wakaka na rafiki zenu wa kike?

Tengeneza scenario ya kumuona yeye na huyo shost ake, kubali kupasuka, hiyo hela ā€œnzuriā€ unayotaka kumpa yeye utatumia kwenye kupasuka…..
 
Wanawake Kila sekunde wako kwenye ushindani.

Kuna mmoja nilivyomtomgoza, akajifanya kuniletea 'Ukaka udada' , ila Pesa haachi kuonga.

Nikamchana live, kwakua K yako umekatalia, Hela, Muombe unayempa K.


Sasa alikua na Best wake mkaliii kinyama, nikaamua kumtongoza best.

Best akajaa, nikaanza kumfanyia kumfuru ya matunzo.


Yule Dem wa Kwanza alipojua, Wacha aendee kunisema mabaya, aliniponda ponda balaaaa.


Uzuri best wake alikua keshanielewa, namm nikampa ukweli, kua kabla yako, nilikua nmevutiwa na Rafiki yako, sema akawa mambo mengi ila Hela akawa anataka.


Sasa hapo anakuonea wivušŸ˜‚

Demu alikujaga kunitafuta, ohoooo sio vizur, ohoooo huna uvumilivu, ohoooo vileeee, ohoooo mwanaume Malaya sana weee
 
Inabid nae umkaze.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]manina..kuna pisi moja nilitupa vocals ikasema ina mtu wake nikasema sawa,tukawa tunachati kirafiki ananiita kaka namwita dada fresh kabisaa..kuna siku ikampost rafiki ake status kwa watsup mkali sana kuliko yeye asee..

Nikamwambia dada eeh naomba namba ya rafiki yako,nimemwelewa kinoma asee,weeeh ilinijia juu kinoma.

ikagoma kabisaa inaishia kunambia utajiju ,loh[emoji26]
 
umalaya tu muone
 
Nenda mwenyewe umtongoze huyo shoga yake bro.Asa unaogopa Nini.
Huyu rafiki yako Wala hatokusaidia kumpata huyo unayemtaka,Kwanza atakusagia kunguni ile mbaya...atamwambia vile alikukataašŸ˜‚
 
Kuna mmoja ananifanya Mimi ni charting machine yake, namjaza kwenye mfumo zeni nitatokomea mitini!
 
Asilimia kubwa ya wanawake wako hivyo anaweza kuwa ni mke wa mtu kabisa lakini akakuharibia Kwa demu unaemtongoza Sasa unajiuliza huyu mke wa mtu hata iweje siwezi kuwa nae lakini anaharibu mishe zangu na mademu wengine anatakaje? Na show ukimuomba hakupi?
 
Mademu wa sasa unaogopa kutongoza full kuombwa hela. Hela pesa money vumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…