Kwanini waende Sweden kula Pasaka na kuacha watoto 3?

Na wewe naye, ni kama unataka baba yao hasipewe muda wa kula bata na watoto wake... Muache tu D na mkewe na maisha yao.
 
Mwacheni shemeji yangu anachanua na kunyauka mwenyewe...
 

Attachments

  • 1459023968793.jpg
    35.6 KB · Views: 35
Mama ndio ndugu yangu...na domo akikumbuka alivyohustle na maza ake kwenye umamantilie dingi kaingia mitini afu saa hivi good time imekuja ndo anajifanya anataka kushow love..domo mpe makavu utatubu baadae na utasamehewa tu na Mungu mwenye hukumu ya haki.

Mom alionyesha unconditional love..its your time to show unconditional love...and whenever she smile that's blesssing.

Respect mama.
 
Umtie mtoto wa watu mimba, anakuja kukuambia Juma nina mimba yako! wewe unamjibu ati nini? sikiliza we malaya potea hapa nisikuone la sivyo! nitakuua.

Mtoto wa watu anaondoka huku mchozi yanamdondoka anahangaika mwenyewe anazaa na kukalea katoto mpka kanakua. hata buku la matumizi hutoi, na mtoto unamkataa kuwa si wako.

Sasa mama anamehangaika nae amekua na mambo yake yamekuwa super ndo unaleta pua yako *****.... km ndo mimi nakuua tena kwa kukunyonga hadharani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…