Mwaka 2016/17 ilikuwa hivi kelele nyingi,mbwembwe nyingi....eti Bei elekezi 1800/ mpaka leo haikutekelezwa na sukar ikspaa ,na ndicho kinachoenda kutokea Sasa! Kama ilivotokea kwenye biashara ya korosho!
Kwa Hali ilivyo sasa Watanzania tuombe Mungu usitokee ukame ili mahindi,Mchele,maharage viendelee kuwepo.Kinyume chake Hali itakuwa mbaya sanaaa!