Kwanini wafanyabiashara wa Kariakoo wasipeleke maumivu kwa mtumiaji wa mwisho(mlaji)?

Kwanini wafanyabiashara wa Kariakoo wasipeleke maumivu kwa mtumiaji wa mwisho(mlaji)?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Nipo napitia pitia vitabu vya biashara naona kama wafanya biashara wa Kariakoo wako against na sheria za Biashara hii ni maajabu kidogo.

Kwa sababu kikawaida kama kodi iko juu anaye takiwa kulia ni mnunuaji wa mwisho yeye ndie anapaswa kulia na hata kuingia Barabarani. Sasa hii ya Kariakoo ni kama wana goma kwa niaba ya mtumiaji wa mwisho.

Ukitoa dai la kusumbuliwa na Wamaching madai mengine hayana mantiki ni full sanaa tupu kama kodi ni kubwa pandisha bei ya products zako, sasa ni kama wanaonea huruma wateja wao.

Anaye beba mzigo wa kodi Mara zote ni mtumiaji wa mwisho sasa Bongo labda ni tofauti kidogo kwamba mzigo wa kodi unabebwa na muuzaji badala ya mnunuaji.
 
Bidhaa nyingi za Kariakoo sio za ulazima au muhimu kwa binadamu. Ingekuwa ni mahitaji muhimu kama chakula ingewezekana, ila bidhaa kama nguo, electronics, urembo n.k watu wanaweza kuachana nazo kwa muda bei zikipanda sana.
 
Mwaka Jana waliletewa Majaliwa, Kwa nini mwaka huu wasingeletewa Suluhu? pengine wangepata Suluhu yao na Serikali Wasije wakapaliwa na Pombe kama wa kipindi kile cha wale wa Mchinga

Anyway Hivi kwani Air Hostes yupo au yuko angani sahivi mpaka atue chini labda ndo atatimba hapo kwenye magorofa mengi kuliko kumpeleka Lord Lofa jana.
 
Mwaka Jana waliletewa Majaliwa, Kwa nini mwaka huu wasingeletewa Suluhu? pengine wangepata Suluhu yao na Serikali Wasije wakapaliwa na Pombe kama wa kipindi kile cha wale wa Mchinga

Anyway Hivi kwani Air Hostes yupo au yuko angani sahivi mpaka atue chini labda ndo atatimba hapo kwenye magorofa mengi kuliko kumpeleka Lord Lofa jana.
YUPO NA HATAKWENDA.
 
Nipo napitia pitia vitabu vya biashara naona kama wafanya biashara wa Kariakoo wako against na sheria za Biashara hii ni maajabu kidogo.

Kwa sababu kikawaida kama kodi iko juu anaye takiwa kulia ni mnunuaji wa mwisho yeye ndie anapaswa kulia na hata kuingia Barabarani. Sasa hii ya Kariakoo ni kama wana goma kwa niaba ya mtumiaji wa mwisho.

Ukitoa dai la kusumbuliwa na Wamaching madai mengine hayana mantiki ni full sanaa tupu kama kodi ni kubwa pandisha bei ya products zako, sasa ni kama wanaonea huruma wateja wao.

Anaye beba mzigo wa kodi Mara zote ni mtumiaji wa mwisho sasa Bongo labda ni tofauti kidogo kwamba mzigo wa kodi unabebwa na muuzaji badala ya mnunuaji.
wafanyabiashara wa kariakoo wanaona mbali badala ya kufanya hicho unachosema cha kupandisha bei ya bidhaa wameona bora wagome bado mapema kuliko kupandisha bidhaa halaf walaji waje wagome/waandamane wavunje maduka yao!Kwahyo wanaupendo na akili ya kuona mbali kuliko wew
 
Hatuwezi kwa sababu kuna watu wana stoo tu na meza hawana EFD machine , kodi za Dukani haziwahusu, wao watashusha bei.
Na wa madukani watabaki wanatoa macho.
 
Anzisha biashara ya maandazi hapo mtaani kwako.
Andazi la Tsh 100 uza Tsh 500 alafu utapata majibu ya swali ulilouliza.

Mtu sio mfanyabiashara unauliza mambo ambayo hayakuhusu. Waachie watu na shughuli zao. Wao ndio wanaojua nini wanakipigania.
 
Mwaka Jana waliletewa Majaliwa, Kwa nini mwaka huu wasingeletewa Suluhu? pengine wangepata Suluhu yao na Serikali Wasije wakapaliwa na Pombe kama wa kipindi kile cha wale wa Mchinga

Anyway Hivi kwani Air Hostes yupo au yuko angani sahivi mpaka atue chini labda ndo atatimba hapo kwenye magorofa mengi kuliko kumpeleka Lord Lofa jana.
akiulizwa swali hataweza kujibu
 
Wafanyabiashara wa Kariakoo should be prepared na China Town coming up in Ubungo. Wafanyabiashara wote wa kutoka nje na local retailers watahamia huko. Plus kuna possibility other players eg kutoka Turkey wakafungua outlets hapo Ubungo.
 
Nipo napitia pitia vitabu vya biashara naona kama wafanya biashara wa Kariakoo wako against na sheria za Biashara hii ni maajabu kidogo.

Kwa sababu kikawaida kama kodi iko juu anaye takiwa kulia ni mnunuaji wa mwisho yeye ndie anapaswa kulia na hata kuingia Barabarani. Sasa hii ya Kariakoo ni kama wana goma kwa niaba ya mtumiaji wa mwisho.

Ukitoa dai la kusumbuliwa na Wamaching madai mengine hayana mantiki ni full sanaa tupu kama kodi ni kubwa pandisha bei ya products zako, sasa ni kama wanaonea huruma wateja wao.

Anaye beba mzigo wa kodi Mara zote ni mtumiaji wa mwisho sasa Bongo labda ni tofauti kidogo kwamba mzigo wa kodi unabebwa na muuzaji badala ya mnunuaji.
Wananchi wenyewe wa kuwapandishia bei wako wapi? Ununue midosho kwa bei kubwa? Wananchi masikini ukipandisha bei biashara haiendi... Unataka walale njaa?

Ukifuatilia bidhaa nyingi zinafanyiwa double taxation. Ukijifanya kulipa kodi zote bei za bidhaa hazikamatiki....

Wewe ni UVCCM?
 
Anaye beba mzigo wa kodi Mara zote ni mtumiaji wa mwisho sasa Bongo labda ni tofauti kidogo kwamba mzigo wa kodi unabebwa na muuzaji badala ya mnunuaji.
Wewe Bado huna akili ya biashara,wanaofata bidhaa kariakoo % ndogo sana ni retailers wengi wao ni wholesalers,kinachosababisha huo mgomo ni mambo mengi tofauti na iyo EFD ,Jana nimeona unasema wakiamua kufunga wafunge but inaathiri nchi nzima maana kariakoo ni kitovu Cha biashara hapa tz na baadhi ya nchi, Kuna msururu wa Kodi na Kuna ambao pia hawatoi Kodi ,angalia na fatilia namna watu wanaagiza bidhaa nje wanatumia njia shirikishi ,Yaani mtu mmoja anaagiza mzigo wa watu wengi kama mtu mmoja ,mzigo ukishafika wengi wanauzika store na hapa TRA hawaambulii kitu,pia namna uthaminishaji wa biashara ni mbovu kwakuwa wao wanaangalia mtaji bila kujua umepata wapi mtaji kama ni bank Kuna riba,Kuna Kodi za fremu,.......
Nk fatilia utaelewa
 
Wafunga mzigo Kariakoo wengi wanatoka DRC Rwanda Burundi Zambia wakipandishiwa bei wanahamia masoko mengine huko Kenya na Uganda.
 
Kinachoendelea kuhusu mgomo wa wafanyabiashara kariakoo ni
mazingaombwe. Si mgomo halisi kuna boss mkubwa wa TRA anaundiwa zengwe. Nothing is at it seems
 
Nipo napitia pitia vitabu vya biashara naona kama wafanya biashara wa Kariakoo wako against na sheria za Biashara hii ni maajabu kidogo.

Kwa sababu kikawaida kama kodi iko juu anaye takiwa kulia ni mnunuaji wa mwisho yeye ndie anapaswa kulia na hata kuingia Barabarani. Sasa hii ya Kariakoo ni kama wana goma kwa niaba ya mtumiaji wa mwisho.

Ukitoa dai la kusumbuliwa na Wamaching madai mengine hayana mantiki ni full sanaa tupu kama kodi ni kubwa pandisha bei ya products zako, sasa ni kama wanaonea huruma wateja wao.

Anaye beba mzigo wa kodi Mara zote ni mtumiaji wa mwisho sasa Bongo labda ni tofauti kidogo kwamba mzigo wa kodi unabebwa na muuzaji badala ya mnunuaji.
Wengi wao wanatumika kwa ajenda za wenye homa ya 2025.
 
Wafunga mzigo Kariakoo wengi wanatoka DRC Rwanda Burundi Zambia wakipandishiwa bei wanahamia masoko mengine huko Kenya na Uganda.
SaGR ikikamilika wengi wao tutawakosa kwa sababu mizigo yao itakuwa inakwenda moja kwa moja kwenye masoko yao kutokea hukohuko wanakonunuwa wafanya biashara ya Kariakoo.
 
Anzisha biashara ya maandazi hapo mtaani kwako.
Andazi la Tsh 100 uza Tsh 500 alafu utapata majibu ya swali ulilouliza.

Mtu sio mfanyabiashara unauliza mambo ambayo hayakuhusu. Waachie watu na shughuli zao. Wao ndio wanaojua nini wanakipigania.
Alichoandika ni ndoto za kufikirika anawaza kama vile kariakoo liko duka moja tu ambako utake usitake utaenda kununua

Hajui pia kuwa Bei zikipanda demand inakuwa ndogo na ikiwa ndogo hata Kodi serikali itapata kidogo na pia mfanyabiashara atapata faida kidogo kwenye hayo matabu yake ya kihasibu

Anaongea kihasibu potofu anasau kuongelea kibiashara na kiuchumi.Arudi kusoma mambo ya demand and supply curve price ikibadilika Kwa bidhaa Nini kinatokea
 
Nipo napitia pitia vitabu vya biashara naona kama wafanya biashara wa Kariakoo wako against na sheria za Biashara hii ni maajabu kidogo.

Kwa sababu kikawaida kama kodi iko juu anaye takiwa kulia ni mnunuaji wa mwisho yeye ndie anapaswa kulia na hata kuingia Barabarani. Sasa hii ya Kariakoo ni kama wana goma kwa niaba ya mtumiaji wa mwisho.

Ukitoa dai la kusumbuliwa na Wamaching madai mengine hayana mantiki ni full sanaa tupu kama kodi ni kubwa pandisha bei ya products zako, sasa ni kama wanaonea huruma wateja wao.

Anaye beba mzigo wa kodi Mara zote ni mtumiaji wa mwisho sasa Bongo labda ni tofauti kidogo kwamba mzigo wa kodi unabebwa na muuzaji badala ya mnunuaji.
Hawawezi wananunua bidhaa kwa magendo bila document ndio maana hawawezi kutoa risiti za halali za kiwango ulichonunua kwa sababu hawawezi kudai marejesho ya kodi tra.
 
Back
Top Bottom