Kwanini wafuasi wa CHADEMA wanaumia na uamuzi wa ACT-Wazalendo kujiunga na SUK Zanzibar?

Kwanini wafuasi wa CHADEMA wanaumia na uamuzi wa ACT-Wazalendo kujiunga na SUK Zanzibar?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kiukweli ukipita humu mitandaoni utaona namna wafuasi wa CHADEMA walivyoumia kwa sababu tu ACT-Wazalendo wamejiunga na SUK huko Zanzibar.

Binafsi najiuliza kwanini waumie wafuasi wa CHADEMA badala ya wale wa CUF ambao ndio wameizaa ACT-Wazalendo ya Zanzibar?

Mbona CHADEMA imeteua Wabunge wa Viti Maalum lakini ACT-Wazalendo hawajalalamika?

Maendeleo hayana vyama.

cc: Mmawia, Erythrocyte na Salary Slip
 
Wengi walitegemea kwamba Maalim Seif angeishi kwa kutegemea akili ya Lisu. Lkn kwa bahati nzur mamb yamekuwa tofauti Maalim kakataa kushikiwa akili na mchumia tumbo Lisu ndomaana nyumbu wa Lisu wamechukia
 
Wengi walitegemea kwamba Maalim Seif angeishi kwa kutegemea akili ya Lisu. Lkn kwa bahati nzur mamb yamekuwa tofauti Maalim kakataa kushikiwa akili na mchumia tumbo Lisu ndomaana nyumbu wa Lisu wamechukia
Chadema wanajiona kama wao ni big brother wa vyama vya upinzani, kwa hiyo walidhani wanaweza kuiambia ACT nini cha kufanya. Act wameamua kufanya mambo kivyao, ndo maana misukule ya kamanda msaliti/mtundulisu inaona wivu.
 
Wengi walitegemea kwamba Maalim Seif angeishi kwa kutegemea akili ya Lisu. Lkn kwa bahati nzuri mambo yamekuwa tofauti Maalim kakataa kushikiwa akili na mchumia tumbo Lissu ndomaana nyumbu wa Lisu wamechukia
Hao ACT walikuwa wanabembeleza uongozi Chadema uwasamehe Covid-19 ili wajifiche kwenye hicho kichaka kwa maamuzi yao ya jana, siasa za kuvizia; sasa yale maamuzi magumu ya Chadema yamewafanya wajilipue, vyama laini vinatakiwa kufa kibaki kimoja chenye nguvu Tanzania.
 
Katika medani za upinzani Tanzania, ACT wamejitanabaisha kama washirika wazuri wa mabadiliko kupitia siasa za upinzani. Inapotokea wakakengeuka, wakafanya usaliti, mwenye akili atahoji na siyo kuumia kama unavyodhani.
 
Katika medani za upinzani tanzania, ACT wamejitanabaisha kama washirika wazuri wa mabadiliko kupitia siasa za upinzani. Inapotokea wakakengeuka, wakafanya usaliti, mwenye akili atahoji na siyo kuumia kama unavyodhani
Wananchi wameamua ACT wazalendo wajiunge SUK!
 
CHADEMA inaenda kuongeza wanachama Zanzibar kama itaendelea kuwa na msimamo huu wakuyosjobokea vinafasi haramu vya CCM watu wengi wataamini CDM kuliko ACT, asaiv act wamejitoa kwenye reli hawana tofauti na TLP au CUF.
Point tupu
 
Back
Top Bottom