Kwanini wafuasi wa CHADEMA wanaumia na uamuzi wa ACT-Wazalendo kujiunga na SUK Zanzibar?

Kwanini wafuasi wa CHADEMA wanaumia na uamuzi wa ACT-Wazalendo kujiunga na SUK Zanzibar?

Nimesoma kauli toka Belgium. Hii move ya ACT inakwenda ku-dilute kile chadema wanacho propagate.
 
Kuna wana CCM wanaumia sana covid19 kupewa nafasi bungeni na kukingiwa kifua na Ndugai.

Hili la maalimu pia SUK halijawapendeza na wanaumia na maumivu yao moyoni.

Siasa za bongo ni mwendo wa ghiliba na kuviziana tu.
 
Kiukweli ukipita humu mitandaoni utaona namna wafuasi wa CHADEMA walivyoumia kwa sababu tu ACT wazalendo wamejiunga na SUK huko Zanzibar.

Binafsi najiuliza kwanini waumie wafuasi wa CHADEMA badala ya wale wa CUF ambao ndio wameizaa ACT wazalendo ya Zanzibar?

Mbona CHADEMA imeteua wabunge wa viti maalumu lakini ACT wazalendo hawajalalamika?

Maendeleo hayana vyama.

cc: Mmawia, Erythrocyte na Salary Slip
Mimi binafsi kinachonishangaza zaidi ni kwa nini CCM wamelifurahia hilo hali ya kuwa walikua wanatuimbia majukwaani kuwa upinzani unachelewesha maendeleo
 
Kwanini CCM mmefurahi ACT kujiunga na CCM?
CCM ndio walionuna ACT kujiunga GNU
Lengo lao ilikuwa kufuta katiba ya umoja wa kitaifa, au wakipandishe chama cha CUF badala yetu.
Tungeli susa wangalimuweka Hamad Rashid wa ADC au Mussa Haji wa CUF.

Si busara kupoteza nafasi ya kujiongeza kisiasa, Huenda kuwemokwetu kukatupa nafasi pana ya kusonga mbele badala ya kuwa tulishalambishwa mchanga na CCM kwa dhuluma.
Si akili kubaki kulalama tuu ''you have to do something which is in your disposal''
 
CCM ndio walionuna ACT kujiunga GNU
Lengo lao ilikuwa kufuta katiba ya umoja wa kitaifa, au wakipandishe chama cha CUF badala yetu.
Tungeli susa wangalimuweka Hamad Rashid wa ADC au Mussa Haji wa CUF.

Si busara kupoteza nafasi ya kujiongeza kisiasa, Huenda kuwemokwetu kukatupa nafasi pana ya kusonga mbele badala ya kuwa tulishalambishwa mchanga na CCM kwa dhuluma.
Si akili kubaki kulalama tuu ''you have to do something which is in your disposal''
Nimekuelewa bwashee, Chadema wanamnunia Halima Mdee huku ruzuku wanaitaka!
 
CCM ndio walionuna ACT kujiunga GNU
Lengo lao ilikuwa kufuta katiba ya umoja wa kitaifa, au wakipandishe chama cha CUF badala yetu.
Tungeli susa wangalimuweka Hamad Rashid wa ADC au Mussa Haji wa CUF.

Si busara kupoteza nafasi ya kujiongeza kisiasa, Huenda kuwemokwetu kukatupa nafasi pana ya kusonga mbele badala ya kuwa tulishalambishwa mchanga na CCM kwa dhuluma.
Si akili kubaki kulalama tuu ''you have to do something which is in your disposal''
Njaa tupu inawasumbua
 
Kama Kuna mtanzania mpenda haki hawezi unga mkono kilichofanyika na Act wazalendo kule zanzibar
 
Akina Halima Mdee ndio wameunga mkono juhudi za CCM lakini ACT wazalendo wamejiunga SUK!
Haahaa wale ni wasaliti, maalim seif kaungana na watesi wake kula Bata kule zanzibar huku wapemba wakiuguza majeraha ya vipigo....
 
Siasa ni taaluma ambayo inafikirisha sana, na hii ni kwakua inafanya yale yasiyo wezekana kwa akili ya kawaida huwa yana wezekana kisiasa.
Wakati nikiwa kijana mdogo nilipata bahati ya kusiliza hekima za mwanasiasa mkongwe Marehemu Peter Kisumo ikizungumzia suala la la Serikali ya Tanganyika wakati wa msimu wa agenda ya G55 alivyokuwa ukiendelea Bungini.

Alisema na namnukuu " katika siasa hakuna majadiliano au agenda yeyote ikawa ya kudumu, na lazima tukubali mtii uliyo nyooka msituni ndio hukatwa kwanza, na wanao isimamia hii ajenda ndio watakao potea kwanza kisiasa au watamezwa na mfumo mpana wa siasa" ,

Haikupita muda Mzee Sitta,Njelu Kasaka na wengi katika kundi lao, wakapata Uwaziri na Ukuu wa Mikoa, na Mzee Maleccela akapoteza kazi ya Uwaziri Mkuu.

Sasa katika siasa ya vyama vingi tulio nayo leo Maalim Seif mambo safi kamezwa na mfumo, yawezekana Mbowe akapata ama akainuliwa kisiasa ama kupotezwa kisiasa.

Yetu macho tusubiri, miazi mitatu ijayo kuna mengi yatatokea ambayo kila litakalo tokea hatuto amini.
 
Siasa ni taaluma ambayo inafikirisha sana, na hii ni kwakua inafanya yale yasiyo wezekana kwa akili ya kawaida huwa yana wezekana kisiasa.
Wakati nikiwa kijana mdogo nilipata bahati ya kusiliza hekima za mwanasiasa mkongwe Marehemu Peter Kisumo ikizungumzia suala la la Serikali ya Tanganyika wakati wa msimu wa agenda ya G55 alivyokuwa ukiendelea Bungini.

Alisema na namnukuu " katika siasa hakuna majadiliano au agenda yeyote ikawa ya kudumu, na lazima tukubali mtii uliyo nyooka msituni ndio hukatwa kwanza, na wanao isimamia hii ajenda ndio watakao potea kwanza kisiasa au watamezwa na mfumo mpana wa siasa" ,

Haikupita muda Mzee Sitta,Njelu Kasaka na wengi katika kundi lao, wakapata Uwaziri na Ukuu wa Mikoa, na Mzee Maleccela akapoteza kazi ya Uwaziri Mkuu.

Sasa katika siasa ya vyama vingi tulio nayo leo Maalim Seif mambo safi kamezwa na mfumo, yawezekana Mbowe akapata ama akainuliwa kisiasa ama kupotezwa kisiasa.

Yetu macho tusubiri, miazi mitatu ijayo kuna mengi yatatokea ambayo kila litakalo tokea hatuto amini.
Mbowe atapewa ubunge wa viti maalumu akaungane na akina Halima Mdee!
 
Back
Top Bottom