Sasa wewe una akili kweli?Kiukweli ukipita humu mitandaoni utaona namna wafuasi wa CHADEMA walivyoumia kwa sababu tu ACT wazalendo wamejiunga na SUK huko Zanzibar.
Binafsi najiuliza kwanini waumie wafuasi wa CHADEMA badala ya wale wa CUF ambao ndio wameizaa ACT wazalendo ya Zanzibar?
Mbona CHADEMA imeteua wabunge wa viti maalumu lakini ACT wazalendo hawajalalamika?
Maendeleo hayana vyama.
cc: Mmawia, Erythrocyte na Salary Slip
Wale watu mliwaua Zenji wanafufuka kutokana na haya makubaliano!?Chadema wanajiona kama wao ni big brother wa vyama vya upinzani, kwa hiyo walidhani wanaweza kuiambia ACT nini cha kufanya. Act wameamua kufanya mambo kivyao, ndo maana misukule ya kamanda msaliti/mtundulisu inaona wivu.
Genge limemtoa mahabusu usiku ili akaape bila ridhaa ya chama.CHADEMA imekuwa genge la wanaharakati linalosukumwa na mijadala ya mitandaoni.
Chadema hii ambayo Lisu alikuwa anamuomba raisi Magufuli maridhiano au unazungumzia ile ya kipindi kile cha dr Slaa?Hao ACT walikuwa wanabembeleza uongozi Chadema uwasamehe Covid-19 ili wajifiche kwenye hicho kichaka kwa maamuzi yao ya jana, siasa za kuvizia; sasa yale maamuzi magumu ya Chadema yamewafanya wajilipue, vyama laini vinatakiwa kufa kibaki kimoja chenye nguvu Tanzania.
Na kwanini wewe MATAGA mzoefu leo uwe msemaji wa ACT-Wazalendo?Kiukweli ukipita humu mitandaoni utaona namna wafuasi wa CHADEMA walivyoumia kwa sababu tu ACT-Wazalendo wamejiunga na SUK huko Zanzibar.
Binafsi najiuliza kwanini waumie wafuasi wa CHADEMA badala ya wale wa CUF ambao ndio wameizaa ACT-Wazalendo ya Zanzibar?
Mbona CHADEMA imeteua Wabunge wa Viti Maalum lakini ACT-Wazalendo hawajalalamika?
Maendeleo hayana vyama.
cc: Mmawia, Erythrocyte na Salary Slip
Kiukweli ukipita humu mitandaoni utaona namna wafuasi wa CHADEMA walivyoumia kwa sababu tu ACT wazalendo wamejiunga na SUK huko Zanzibar.
Binafsi najiuliza kwanini waumie wafuasi wa CHADEMA badala ya wale wa CUF ambao ndio wameizaa ACT wazalendo ya Zanzibar?
Mbona CHADEMA imeteua wabunge wa viti maalumu lakini ACT wazalendo hawajalalamika?
Maendeleo hayana vyama.
cc: Mmawia, Erythrocyte na Salary Slip