INTROVERT MAN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 993
- 1,343
Yaweza ikawa kweli kwani ikitokea akapata madhara lawama zitakuwa nyingi sana toka kwa raiaSio ccm tu,NEC ikishapitisha jina lako unalindwa na hao jamaa hata hashim rungwe na lissu wanalindwa na hao jamaa,