Kwanini wagombea wa CCM hulindwa na Usalama wa taifa wakati wa kampeni

Sio ccm tu,NEC ikishapitisha jina lako unalindwa na hao jamaa hata hashim rungwe na lissu wanalindwa na hao jamaa,
Yaweza ikawa kweli kwani ikitokea akapata madhara lawama zitakuwa nyingi sana toka kwa raia
 
Umenena vyema funzadume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…