Ulishaona tunafunga kamba watu kuwa lazima waamini.Kila kona ya hii dunia Dini ya kiislamu ni shida. Inapigwa vita na wazungu , wachina na wahindi na shida ni ile ile waislamu wanataka kulazimisha dini yao ifuatwe kwa nguvu kitu ambacho akikubaliki kwa dunia ya saiv ambayo dini ni hiyari ya mtu.
Na hii ndio umeona njia rahisi ya kukwepa hojaChief, unatatizo kubwa na mi binafsi siwezi shughulika nalo.shauri ya wazazi wako.
Nilishakupuuza.Na hii ndio umeona njia rahisi ya kukwepa hoja
Mafundisho ya uislam yanakaza kumlazimisha mtu kuamini uislamKila kona ya hii dunia Dini ya kiislamu ni shida. Inapigwa vita na wazungu , wachina na wahindi na shida ni ile ile waislamu wanataka kulazimisha dini yao ifuatwe kwa nguvu kitu ambacho akikubaliki kwa dunia ya saiv ambayo dini ni hiyari ya mtu.
2:29Mafundisho ya uislam yanakaza kumlazimisha mtu kuamini uislam
Dah, kaka mkubwa jamaa ametumia maneno mazuri sana kukuelewesha lkn wapiiii, sjui umekusudia kutokuelewa au laa. Lkn ngoja nimsaidie labda kupitia mimi utaelewa vzr zaidi. Na nitakujibu kwa mifano.Basi uislamu una shaka si kama mnavyounadi yanayotokea yote ni Kwa mwongozo wa hiyo hiyo quran,wewe ukikataa kisa mtazamo wako basi na hao mnaowaita wahuni wanawaona mmepotea,nimewahi kusikia mawaidha ya msikiti mmoja wakimsifia Osama unadhani wale si waislamu safi kuliko wewe?
Kwaio viongozi wa makanisa wanavyoozesha wa jinsia moja ndio picha husika ya hiyo dini ?Ndio matatizo yenu huanzia hapa mkishakosa jibu mnaanza kuongea kiarabu na uwongo mwingi
Lengo kiongozi wa kidini aliyeamrisha salmon kuuwawa asionekane na makosa
Kiongozi wa kidini ndio picha ya dini hasa yale anayoyafanya public ndio reflection ya dini husika
Waislamu wanakula miungu yao (ng’ombe)😂Hawa Wahindi wa india ambao ni waamini wa dini ya Kihindu wanawachukia sana Waislam wanakwambia wangeweza wangewateketeza kwa bomu kama lile la USA kwenda Japan.
Hii chuki inatokana na nini? Tukumbuke hawa wote ni wahindi jamii moja.
Zamani kutokana na hii chuki kulipelekea Waislam kujitenga na kuunda nchi yao ya Pakstan
Ila kuna Waislam walibaki kwenye nchi yao ya asili ya India na kupelekea mgogoro hadi leo.
Hawa Wahindu wana upendo wa dhati kwa Wakristo na Wabudha ila hawataki kuwasikia wahindi ambao ni Waislam.
Na ukichunguza kwa kina wahindi wengi waislam walikimbilia Africa na nchi nyingine kutokana na hizi chuki.
Nchini India jamii za kiislam zinaishi kwa wasiwasi sana na ukibainika muislam anaona binti wa kihindi anaweza kufa kifo cha kutatanisha.
Cha ajabu kule Pakstan jamii ya kihindi inachuki na ukristo kuliko Wahindu.
Sijawahi kushuhudia huu uhasama wa kidini nchi yeyote zaidi ya India.