Kwanini waislam wamuandame Wema Sepetu kisa kimpost Whozu?

Kwanini waislam wamuandame Wema Sepetu kisa kimpost Whozu?

Povuu hakuna kulazimishana mtu ameamua kuishi hivyo hajavunja sheria achana nae, watu mapovu mapovu maisha ya mtu yanakukera kiasi hicho
 
Povuu hakuna kulazimishana mtu ameamua kuishi hivyo hajavunja sheria achana nae, watu mapovu mapovu maisha ya mtu yanakukera kiasi hicho
Hivi na wewe unaamini kuna mtu anahangaika na wema?
 
Uislamu ni mkubwa kuliko mtu mmoja mmoja
Nani anamzungumzia Rose Mhando kubadili dini itakuja kuwa Wema kumpikia chakula huyo chalii?

Alipitia mateso sana baada ya kubadili, huwa mumeagizwa kumuua yeyote anayehama hiyo dini yenu.
 
Alipitia mateso sana baada ya kubadili, huwa mumeagizwa kumuua yeyote anayehama hiyo dini yenu.
Kaka wewe endelea kuandamana tu, Tz mapadri wa katoliki waliuawa wawili tena kanisani na hakuna kesi hadi Leo. Waislam wako wazi sio kama nyie mnayafanya lakini kwa kificho
 
Kaka wewe endelea kuandamana tu, Tz mapadri wa katoliki waliuawa wawili tena kanisani na hakuna kesi hadi Leo. Waislam wako wazi sio kama nyie mnayafanya lakini kwa kificho

Uwazi gani wa kukata watu vichwa kisa dini ya mwarabu....
 
Unazani wale mapadri wamekufa kisa dini ya nani?

Watu wanasafiri kwa bus mnalivizia na kuanza kuwatenganisha kulingana na dini, asiye muislamu anakatwa kichwa, yote hiyo kisa dini ya mwarabu, yaani mwarabu mwenyewe kajifia zamani hata hana habari miafrika mumefuata uzombi huo.
 
Back
Top Bottom