Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 51
Haya mimi sipingi kwani nimeona mtu mmoja alikuwa na pete jamaa alimpenda sasa jamaa akawa anajirusha nae siku ya siku huyo msichana analetewa kadi ya harusi jamaa anakwenda kuoa msichana hiyo presha juu na kulazwa alipoulizwa sababu alisema alijua yeye ndo ataolewa alipoulizwa jamaa akasema huyo ni mke wa mtu angalia amevaa pete. Alipoulizwa huyo msichana hana jibu. Basi kwa kifupi wanajipunguzia nafasi ya kupata bwana