Nimekupenda bureeNadhani nikujibu kitaalama kama ifuatavyo:
Katika hali ya kawaida wanadamu wanasemekana kuwa na sifa iitwayo heterophilia, ambapo mwanamke anakuwa androphilic, wakati mwanamume anakuwa gynephilic.
Kwa hiyo, hata kama mwanamume anayo matako makubwa bado hatarajiwi kusababisha mvutano kati yake na wanaume wenzake. Kwa uelewa zaidi soma hapa...
Sexual orientation - Nonbinary.org
[emoji23] kama hawa napenda sana.[emoji23]
Raha ya kondoo ni mkiaaaEti wanasemaga nyumba ni choo
.Nimekupenda buree
Hakuna cha zaid boss ndio maana hata mm nakuwa surprised labda ni kupendezesha maumbile tuWewe sasa ulitaka kuyafanyia nini zaidi ya hapo?
Nayaangalia tu sina cha kuyafanya labda unijuze mkuu yanafanyiwa kitu gani nami niwe najituma[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] kweli? Unayaangalia tu? Una bahati!
Hahahahah asante kwa kujazia nyamaRaha ya kondoo ni mkiaaa
Kwaio hio umeona ndio kazi nilijua labda ungesema kukaliaLakini si unajambiaga hayo shehe, kazi hiyo haitoshi? au unataka waungwana waje kuwekeza na kyapatia kazi nyingine?