Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawalipwi! na Yawezekana hajui kama Halipwi! Akijua Halipwi itakua mwisho kukusaidia.Hapo wanataka kuwapiga mara mbili.
Kuna wakala namfahamu, yeye nampa cash na namba ya kutuma, na anatuma bila shida.
Ingekuwa halipwi commission asingekuwa anakataa kutuma hizo hela ambazo anatuma almost kila weekend.
Na kama hawalipwi commission ingeonesha wakati wanataka ku-confirm kutuma pesa.
Hebu Soma Terms and Condition
Tigo Pesa Tariffs | Tigo Tanzania (sorry Moderator nimeweka link ili kuelimisha.
Kipengele cha pili Kinamtaka Mtoaji na Muwekaji Fedha kwa wakala kuonyesha KItambulisho Chake. Sasa Wakala uko naye Mwanza unataka mtu wa Dar atoe Hela, hicho kitambulisho atakionaje?
Kwamba unataka kutuaminisha mtu ambaye siyo wakala hawezi kujuwa jambo hili?Mkuu Wewe ni wakala au unataka ligi,Mimi ni wakala na nimeandika uhalisia
Hivi ni kweli ulimdhulumu yule dada laki kadhaa?je umemlipa?Nilikuwa na mume wangu siku ile tunasoma wote akasikitika sana wewe kula hela ya mwanamke akasema unajitafutia laana tu.Hiyo ni miamala isiyo na Commision kwasasa so Mitandao husika watakupa kamisheni kwa miamala waliyoruhusu tu.
Miamala iliyoruhusiwa ni ipi?
Ni miamala yote inayofanyika location(eneo) 1 kati ya wakala na mteja.
Mteja akiwa bukoba wakala akiwa Dar Huo muamala wakala akiufanya ni kajitolea tu kama sadaka ila Hapati hata senti.
Vigezo na Masharti kuzingatiwa.
ila nyie kula hela zetu sawa ee, pambafwewe kula hela ya mwanamke ni laana
Amemdhulumu mwanamke atapata laana!!?Hivi ni kweli ulimdhulumu yule dada laki kadhaa?je umemlipa?Nilikuwa na mume wangu siku ile tunasoma wote akasikitika sana wewe kula hela ya mwanamke akasema unajitafutia laana tu.
Kama hujamrudishia ni vyema ukamrudishia.
Wanaume ni provider nasi wanawake.ila nyie kula hela zetu sawa ee, pambaf
Na hii ndo sababu hasa, wasipoelewa na hapa hakuna namna tena ya kuelewaNakuelewesha, kwa msaada wa wengi.
Juu ya swala la kutoa kwa wakala, kwa mteja aliyepo mbali.
Hili wanalikataa kwa sababu ya usalama na kuepuka kutapeliwa.
Wateja wengine ni wajanja na hiyo ni mbinu yao ya kupiga fedha kirahisi.
Anaenda kwa wakala, anamuambia anatoa pesa. Anamtumia mwenzake aliyepo mbali, madhalani mkoa mwingine. Mwenzake akishatoa, anapewa cash na wakala, anaondoka.
Akishaondoka, yule aliyetoa pesa anapiga simu huduma kwa wateja kuomba fedha zirudishwe kwa sababu katoa kimakosa.
Huduma kwa mteja wanachofanya wanakupigia nawe kuuliza huku mmeunganishwa na mteja husika. Bila shaka utasema ulimhudumia mteja na ulimpa cash.
Mteja ataulizwa na atakataa kata kata. Wanachofanya huduma kwa wateja, wanaangalia mteja ametolea fedha wapi na wakala yupo wapi. Kama mteja alikuwa mbali, yeye atarudishiwa fedha.
Wakala utafata taratibu za kisheria kudai hela yako. Mfano, kupeleka shitaka polisi ukiwa umeambatanisha na kitabu alichosaini mteja akiwa anachukua fedha, kilicho na namba ya simu, na namba ya kitambulisho pamoja na namba ya muamala.
Bahati mbaya sana, wateja hawataki kusaini na hivyo hutokuwa na kithibitisho. Maana yake umekula hasara kama wakala.
iyo laana inakujaje? huna akili, tukisema 'wadada' mnajiuza mnaanza kulia liaWanaume ni provider nasi wanawake.
Wewe ndiye Wakala pekee unayejitambua.. maelezo yako yamelewekaNakuelewesha, kwa msaada wa wengi.
Juu ya swala la kutoa kwa wakala, kwa mteja aliyepo mbali.
Hili wanalikataa kwa sababu ya usalama na kuepuka kutapeliwa.
Wateja wengine ni wajanja na hiyo ni mbinu yao ya kupiga fedha kirahisi.
Anaenda kwa wakala, anamuambia anatoa pesa. Anamtumia mwenzake aliyepo mbali, madhalani mkoa mwingine. Mwenzake akishatoa, anapewa cash na wakala, anaondoka.
Akishaondoka, yule aliyetoa pesa anapiga simu huduma kwa wateja kuomba fedha zirudishwe kwa sababu katoa kimakosa.
Huduma kwa mteja wanachofanya wanakupigia nawe kuuliza huku mmeunganishwa na mteja husika. Bila shaka utasema ulimhudumia mteja na ulimpa cash.
Mteja ataulizwa na atakataa kata kata. Wanachofanya huduma kwa wateja, wanaangalia mteja ametolea fedha wapi na wakala yupo wapi. Kama mteja alikuwa mbali, yeye atarudishiwa fedha.
Wakala utafata taratibu za kisheria kudai hela yako. Mfano, kupeleka shitaka polisi ukiwa umeambatanisha na kitabu alichosaini mteja akiwa anachukua fedha, kilicho na namba ya simu, na namba ya kitambulisho pamoja na namba ya muamala.
Bahati mbaya sana, wateja hawataki kusaini na hivyo hutokuwa na kithibitisho. Maana yake umekula hasara kama wakala.
Sababu ni kuwa watakosa fedha kupitia makato... Fikiria..Tangu ongezeko la tozo kwa mitandao ya simu, mawakala wengi hususani Tigo Pesa na M Pesa wamekua wakigoma mtu kutoa pesa akiwa nje ya eneo la ofisi zao.
Jamaa yangu alikua anataka kunitumia pesa akashauri niende kwa wakala ili atoe hapo na nichukue pesa.
Wakala akakataa kwa hoja mtoaji yupo mkoa mwingine hivyo atapata kiasi kidogo sana. Ikabidi jamaa anitumie kwenye simu yangu ili nitoe.
Lakini leo kuna mtu nimemtuma kitu na akapungukiwa pesa nikaamua aende kwa wakala wa Tigo pesa ili nitoe pesa achukulie hapo lakini takribani wakala wote wamekataa wakimwambia atumiwe pesa na atoe yeye.
Nipo Mkoa mmoja na ninayetaka achukue pesa. Hivyo hoja ya kuwa mkoa mwingine haikuwepo.
Sijajua kwa nini wamekataa. Suala la miamala ya simu imekua na changamoto nyingi kwa sasa
Mwenye kujua atujuze.