Kwanini wakati wa mfungo wa Ramadhani biashara nyingi hudorora?

Ambaye hana akili ni mshia anayetumia social media za makafiri!, gari za makafiri and everything from MAKAFIRI JF haina miaka 20
Nadhani tunaelewana

Mshaanza kutoka kwenye logicak reasoning na kuingia kwenye mihemko ya kiimani...
Hapa nadhani mie sina makao teena.
Kwaheri.

Na amani ya mungu iwe kwenu (assalam alykum/ shelome eleikhom)
 
uislamu unategemea kudhoofisha imani nyingine ili wenyewe uendelee na hili huwezi kulipinga.

Al-Ma'idah 5:51

O you who have believed, do not take the Jews and the Christians as allies. They are [in fact] allies of one another. And whoever is an ally to them among you - then indeed, he is [one] of them

Hii aya tu inapingana na maandishi yako.

usichangane pale tunaposema dini sahihi mbele ya mwenye mwenyezi mungu ni uislam. Na dini kinyume na uislam sio dini sahihi ukasema et hapa tunatukana dini nyingine.


Kilichokuwa kinafanywa Granada zile invasion zote lengo lake lilikuwa ni kuua Ukristo kabisa na kuuinua Uislamu ndio maana hata vita ilivyozuka ilikuwa ya kidini Crusaders against Moslems!
Hata unavyosema dini sahihi mbele ya Mungu ni hiyo hai-make sense Mungu toka lini akawa na dini? Hiyo yote ni kuonyesha imani yenu ni bora kuliko ingine.

Ukisoma mfululizo wa kuhuisha uislam hukuti mahala uislam ulkuwa ukiingia mahali et unadhoofisha imani ya sehem husika. Ila watu wanavutiwa na uislam automatically imani nyingine inakosa nguvu na uislam unakuwa dominant
Spain walifanya nini?
Egypt walifanya nini?
Turkey walifanya nini?

Leo hii England wanafanya nini? Ukienda Birmingham wamejazana vibaya mno na sio kwamba kuna jingine wanafanya ni dini tu wanaeneza ila mikakati ya sasa ni tofauti na iliyotumiwa na ancestors wao.

Embu mfatilie mtu mmoja anaitwa Morgan Freeman amewahi kuelezea ule Ukristo wa kale kabisa ulikutana na changamoto gani Turkey
 
Sio utamaduni wetu kutangaza watu eti amebadilisha imani jamani amekuwa Mkristo never! Na hata wanaofanya ni show off tu.

Hiki kinawasumbua sana tena sana.
Ndio maana kila uchwao mahubiri yenu yamejijenga zaidi dhidi yetu tuamini mlipo ni sehemu sahihi.

Nitakupa mfano, muislamu anaweza kusema salamu ya dini yake kwenye umati wa watu hata mia ambao sio waislamu ila mkristo hawezi kusema Bwana Yesu asifiwe au Tumsifu Yesu Kristo au Shalom mbele ya waislamu hata watatu tu never! Umewahi kujiuliza kwanini?
 
Sijaipitia hiyo page USA nini sijui..ili hichi ndo kinafanyika hata kwa waislam..kutupa habari tu kuwa hapa tuna mgeni.
Kama hivi eeeh?
Hii ni kutoka page ya USA MUSLIMS

In the next 5 years Germany will become an Islamic castle -Peire Vogel
More then 20000 people accept Islam with him most of them in Germany. May Allah bless and reward him.

Yani hii ndio huwa ndoto yenu kubwa na alianza kuiota Muhammad nanyi pia mmeendelea kuiota.

Hii ndio big mission ya uislamu na ndio maana unasema ukiingia ukatoka uuliwe! Unaweza kuniambia kwanini?

Kwa ujumla ndugu yangu DeWitt J hiyo ya mtu akisilimu aanze kuzungumza namna alivyokuwa kwenye ukristo haipo kabsa kwenye uilsam na hata ukiangalia haina logic yeyote kufanya hivyoo.
Watu mkiwasilimishaga huwa hamtaki wawaeleze kilichowatoa?

Kuwa muarabu ina maana huyo mtu ana vinasaba vya Muhammad na sitaki kuamini kwamba muislamu muarabu (acha muislamu jina) anaweza akawa anazidiwa na mmatumbi kuujua.
 
ooh,unaijua The Grid?
Watu tupo mtandaoni tangu 2002 mkuu,
rnet wirelessly walikuwa wanatumia dual band GSM 1800 MHz na 900 MHz wewe hela za kununua vocha uweze kutumia hii internet back those years ulipata wapi hata mtoto wa waziri hapa alikuwa hawezi.

Vocha ilikuwa unaitumia kama ilivyo hakuna vifurushi SMS moja unatuma kwa senti 54. Kifaa pekee ambacho kilikuwepo cha kuingilia mtandaoni ni Computer!

Hiyo Ni approx 20,,so jiulize,kula kwangu nguruwe ama kutokula kwanini kumshughulishe mtu?,kwanini mtu apoteze muda kuanzisha uzi kila mwaka kwa ishu Kama hiyo,
Kwa hiyo jamaa alikuwa anaanzisha nyuzi huko The Grid kuhusu ulaji wa Nguruwe akahamia na Jambo na mpaka sasa Jamii bado tu anaanzishaga?
Hahaha

Reasoning yako pia ya kitoto,eti sijui kwanini mtu atumie intanet,gari za makafiri,,kwani kafiri ndo Nini?na inahusianaje na kutumia social media au gari?
Unajifanya huwajui makafiri leo au sio 😊 acha kutumia vitu vyao. Na kawaeleze mashia wenzio mjenge miundombinu yenu mtengeneze project yenu kama WordPress and everything on your own vitu vya makafiri viache.

Koran imetukataza kuwafanya makafiri washikaji kwa hiyo na vitu vyao tuviache au unasemaje? 😝😝
 
Sure.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa kwanini umenitaja??.Sasa km hizo mishe hazipo kwenye uislamu,kwanini mashekhe wengi wanafuga majini ??,na ushahidi upo.

Tumeona mashekhe wakipandisha watu majini,tena wanafanyia misikitini sasa unakwepaje kitanzi hicho bwana mkubwa??.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi kabisa ndugu yangu. Yaani hawa jamaa wanatumia nguvu nyingi sana kuieneza dini yao.Niliwahi kuhudhuria semina moja kuhusu dini hii ya kiislamu jinsi inavyojieneza,mbinu wanazotumia zipo sita.
1.Ushawishi,inaweza kuwa kwa kukutukana dini zingine,kujinadi,nk.
2.Kwa kutumia pesa,kuwalaghai watu fukara kwa vizawadi uchwara au kuwa ahidi ajira.
3.Kwa kuoa watu wa imani nyingine ili kuwasilimisha na wanaoa wake wengi ili kuongeza idadi.
4.Kwa kushika madaraka serikalini na kuhakikisha kuwa wanatumia vizuri nafasi hiyo kujieneza.
5.Kwa njia ya mihadhara na kampeni kabambe ya kuwadhoofisha watu wa imani zingine na kisha kujitangaza kuwa wao ni bora zaidi kuliko wengine.
6.Kwa njia ya upanga.Njia hizo tano zikishindikana basi Upanga unahusika,haina maana kuwa lazima watumie upanga,wanaweza kutumia mtutu wa bunduki,kujilipua kwa mabomu,n.k.kwa hoja ya kuutetea na kuueneza uislamu,rejea vita vya jihad alivyopigana mtume wao.
Any way muda si mrefu nitaleta mada kuhusu jinsi waislamu wanavyotumia nguvu nyingi ili kueneza dini yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uongo wewe,huoni soni???.Ninyi jamaa kwa kujitangaza ndo wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawanaga akili Hawa watu,yaani kuhangaika kote kuanzisha uzi lengo Ni kiti Moto,na hizi nyuzi zinatokea a kila mwaka Leo mwaka wa 20 sasa
Na wewe ni mlaji mzuri wa kitimoto unadhani watu hatukujui!!!.Najua kuanzia Jumatatu kiti moto itakutambua wewe ni nani,utaitafuna hadi majogoo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ambaye hana akili ni mshia anayetumia social media za makafiri!, gari za makafiri and everything from MAKAFIRI JF haina miaka 20
Nadhani tunaelewana
Mbona wewe unagonga bia na kitimoto na kufanya ufusika hatujakuita Kafiri,mwenzio kupanda gari ya Mkristo tu eti kakosea?!!!.Waislamu watu wa hovyo sana,japo sio wote,ninao jamaa zangu wachache ndo wastaarabu,wengine hovyo ukiwa na wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
rejea vita vya jihad alivyopigana mtume wao.

Huna ujualo ndugu yangu kuhusu jihadi alizopigana mtume wala waliomfuata baada ya kuondoka.

Mtume na waliomfuata wote walipiga vita vya kujihami..katka historia hakuna mahali inayoonesha uislam uliingia mahali kwa vita.

Uliposema turejee mtume hapo ndo ulipokosea coz vita vyote alivyopigana mtume ni vita vya kujihami baada ya kuvamiwa.

Kama unarejeo tofauti...tafadhali naomba kufahamu.
 
Mbona wewe unagonga bia na kitimoto na kufanya ufusika hatujakuita Kafiri,mwenzio kupanda gari ya Mkristo tu eti kakosea?!!!.Waislamu watu wa hovyo sana,japo sio wote,ninao jamaa zangu wachache ndo wastaarabu,wengine hovyo ukiwa na wewe

CHAULA RICH una upungufu mkubwa wa busara. Ona sasa mpka una mtusi mwenzako πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

binafsi nimependelea saana mjadala na DeWitt J kuliko wewe CHAULA RICH.
Mwenzako kwanza hana ushabiki kama wewe...mwenzako anazungumza anachokifaham kwa kupitia vyanzo kuntu. Ana hoja zinazo sound...

Mwenzangu na mie CHAULA RICH pole saana mijadala ya dini sio saizi yako.
 
Kuwa muarabu ina maana huyo mtu ana vinasaba vya Muhammad na sitaki kuamini kwamba muislamu muarabu (acha muislamu jina) anaweza akawa anazidiwa na mmatumbi kuujua.

Teena kwa kiasi kikubwa haswaaaa..
Soma hii aya

"Enyi watu hakika tumewaumba wanawake na wanaume, na tumewajalia mataifa na makabil, ili mpate kufahamiana tu, mbora zaidi kati yenu ni yule ambae ni mchamungu.."

Uislam hamtukuzi mtu kwa utaifa wake wala jinsia yake wala kabila lake ila mchamungu tu. Na uchamungu wa mtu hautegemei ana ujua uislam kiasi gani...mtu anaweza akasilimia ndani ya mwezi m1 akamshinda uchamungu muislam wa kuzaliwa ndani ya uislamu.
 
Kuwa muarabu ina maana huyo mtu ana vinasaba vya Muhammad

DeWitt J nenda kasome vizuri hapa mr.
Muhammad (s.a.w) alikuwa mwarabu wa kabila la quraishi kabila ambalo lina koo 10 pekee na mtu alkuwa anatoka kwenye ukoo wa banu hashim wapo dominat macca.

Sio kila mwarabu ana nasaba ya mtume bwana em kasome tena, sitarajii mtu kama wewe kuongea hoja ya kiwango cha chini kama hii.

Huyo mtume na abuubakar rafiki yake mkubwa hawana nasaba kabisa japo wapo kabila moja ila koo tofauti.
 
Hapa patamu.
Unaweza kunieleza kwanini aliwaua Wayahudi wa kabila la Banu Quraidha wanaokadiriwa kuwa 800-900?
 
Thibitisha hii dhana kwanza kabla haijakuwa swali
Hiki kisa ni maarufu sana nimeanza kukiuliza toka 2018 na sijawahi kupata majibu.

Unakifahamu tafadhali niambie kwanini aliwaua na tena aliwaua wanaume tu kisha akawapeleka wake zao utumwani
 
Hiki kisa ni maarufu sana nimeanza kukiuliza toka 2018 na sijawahi kupata majibu.

Unakifahamu tafadhali niambie kwanini aliwaua na tena aliwaua wanaume tu kisha akawapeleka wake zao utumwani

Naomba hili ulianzishie uzi, uzi huu hauna agenda hiyo...anzisha uzi na unitag ili tufungue mjadala wa wazi..

Nmependezwa na busara zako...amini tu kwamba ukianzisha uzi nitakuja na hoja na wewe utajadili mpk tutafikia muafaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…