Kwanini wakati wa mvua Makende ya Wanaume wengi hukakamaa na kuleta ushirikiano?

Kwanini wakati wa mvua Makende ya Wanaume wengi hukakamaa na kuleta ushirikiano?

Umejibu vizur mkuu temperature ya pumbu ni 4°c ambayo ni tofauti na ya mwili 37°c huwa hazifanani ila temperature ya pumbu muda mwingine hususani wkt wa baridi hutegemea ya mwili na kusababisha pumbu kusinyaa na kurudi ndani kutegemea temperature ya mwili maana cha baridi temperature ya pumbu nayo hupungua kutoka 4°c na kushuka
Iko hivi, mwili kawaida una joto la 37°C wakati uzalishaji wa mbegu za kiume(sperm) unahitaji joto la 34-35°C, maana yake ni chini ya joto la kawaida la mwili.

Kwa sababu korodani zinaninginia nje kwa hyo kama joto la nje(external temp.) Ikishuka sana itasababisha ziingie ndani ili kufyonza joto la ndani, na joto la ndani(core temperature) likizidi zitashuka tena nje kufyonza joto la nje.
 
Umejibu vizur mkuu temperature ya pumbu ni 4°c ambayo ni tofauti na ya mwili 37°c huwa hazifanani ila temperature ya pumbu muda mwingine hususani wkt wa baridi hutegemea ya mwili na kusababisha pumbu kusinyaa na kurudi ndani kutegemea temperature ya mwili maana cha baridi temperature ya pumbu nayo hupungua kutoka 4°c na kushuka
KAMA HAYO NI MAELEZO YA KIDAKTARI UMENIPELEKA DARASANI VIZURI.
 
Iko hivi, mwili kawaida una joto la 37°C wakati uzalishaji wa mbegu za kiume(sperm) unahitaji joto la 34-35°C, maana yake ni chini ya joto la kawaida la mwili.

Kwa sababu korodani zinaninginia nje kwa hyo kama joto la nje(external temp.) Ikishuka sana itasababisha ziingie ndani ili kufyonza joto la ndani, na joto la ndani(core temperature) likizidi zitashuka tena nje kufyonza joto la nje.
hivi wakati zinafanya hiyo process huwa mnafeel chochote?
 
Mtoa mada mwogope mola wako.. kwanini hujiulizi ni kwanini nguvu ya fikra inaweza kunyanyua mtaimbo na ukawa unanguvu na mgumu kama mfupa..lkn hivihivi tu huu nyanyui
 
Huyo unayetaka kukimbilia kunisemea Kwake ' kazinusa ' hadi ' pua ' zake zote mbili zimepinda kwa ' kipafyumu ' kilichotukuka kitokacho huko ' mafichoni ' . Tena atafurahi kapata msaidizi wa ' kunusa '.
haya shemeji nakuja palepale
 
Back
Top Bottom