NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,517
- 3,135
Iko hivi, mwili kawaida una joto la 37°C wakati uzalishaji wa mbegu za kiume(sperm) unahitaji joto la 34-35°C, maana yake ni chini ya joto la kawaida la mwili.Umejibu vizur mkuu temperature ya pumbu ni 4°c ambayo ni tofauti na ya mwili 37°c huwa hazifanani ila temperature ya pumbu muda mwingine hususani wkt wa baridi hutegemea ya mwili na kusababisha pumbu kusinyaa na kurudi ndani kutegemea temperature ya mwili maana cha baridi temperature ya pumbu nayo hupungua kutoka 4°c na kushuka
Kwa sababu korodani zinaninginia nje kwa hyo kama joto la nje(external temp.) Ikishuka sana itasababisha ziingie ndani ili kufyonza joto la ndani, na joto la ndani(core temperature) likizidi zitashuka tena nje kufyonza joto la nje.