Kwanini wakati wa mvua Makende ya Wanaume wengi hukakamaa na kuleta ushirikiano?

inaonekana bilogy imekupita kushoto,

reason ni ili sperm ambazo zinahifadhiwa kwenye makende zipate joto la kutosha, na hata baridi likizdi pia binaadamu huanza tetemeka ili azalishe joto la kutosha kukabiliana na baridi hilo
 
Ukitembea sana juani kende zikiwa zimelegea sana huwa zinatoa harufu flan hv ya mishkaki ya Nyau.
 
Dar now mvua inanyesha, aisee nimezicheki zangu zimekakamaa pia, I dont even know why..
kwa waliosom bios mbona ni jibu rahisi tu kwanini makende yanajikunyata siku za baridi siku za joto yanakuwa kawaida, niliwahi kwenda iringa kule ni balaa, nilidhani zinebebwa na wachawi, ngozi ya kende ilijikunyata na kende zikapanda kwenye kinena, mpaka nilipooga maji ya moto zikashuka
 
Mkuu hapo ni kwa sababu ya temperature difference kati ya core temp na surrounding temp

Siku zote mapumbu yanatakiwa yawe katk temp less than that of core temp
na ndio maana unapotaka kupiga bao joto la kende linakuwa sambamba na mwili, so tunashauriwa ukiona bao linakaribia achia miguu ziwe zinahang ili joto lishuke uendelee kula mzigo
 
ni 26 degrees centgrades mkuu sio 4 degrees centrages, nyuzi 4 ni baridi kali sana kwa kwetu
 
Kende hushuka chini ili kupata hewa ya ubaridi ili kusaidia utengenezaji wa mbegu sasa wakati wa baridi hukakamaa sababu zinakuwa zimepata barid la kutosha kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…