Jamaa Fulani Mjuaji
Senior Member
- Jul 25, 2020
- 155
- 278
Wenye Mko kwenye Ndoa Wapendeni wake zenu. Wake za watu wengi wako desperate sana.
Yaani watu wamefunga ndoa kama wamelazimishana mtu yuko na mume wake hata miaka mingi haijapita ila mke unaona kabisa kamchoka mume wake kwa kila kitu hata kama ana mawe (pesa) mingi.
Vijana wapendeni wake zenu vinginevyo mtachapiwa sana wake zenu.
Yaani watu wamefunga ndoa kama wamelazimishana mtu yuko na mume wake hata miaka mingi haijapita ila mke unaona kabisa kamchoka mume wake kwa kila kitu hata kama ana mawe (pesa) mingi.
Vijana wapendeni wake zenu vinginevyo mtachapiwa sana wake zenu.