Kwanini wake za watu wengi wanaongoza kuchepuka?

Kwanini wake za watu wengi wanaongoza kuchepuka?

Wenye Mko kwenye Ndoa Wapendeni wake zenu. Wake za watu wengi wako desperate sana yaani watu wamefunga ndoa kama wamelazimishana mtu yuko na mume wake hata miaka mingi haijapita ila mke unaona kabisa kamchoka mume wake kwa kila kitu hata kama ana mawe (pesa) mingi, vijana wapendeni wake zenu vinginevyo mtachapiwa sana wake zenu.
Kwani kuwapenda ndo nini?
 
Ulimwengu wa digital, tulikotoka na tuendako ni tofauti,

Ni vigumu kumtimizia mkeo Kila kitu, narudia, KILA KITU.
 
Wenye Mko kwenye Ndoa Wapendeni wake zenu. Wake za watu wengi wako desperate sana yaani watu wamefunga ndoa kama wamelazimishana mtu yuko na mume wake hata miaka mingi haijapita ila mke unaona kabisa kamchoka mume wake kwa kila kitu hata kama ana mawe (pesa) mingi, vijana wapendeni wake zenu vinginevyo mtachapiwa sana wake zenu.
Tunamhitaji Mungu kwa ajili ya kulinda ndoa zetu.Wanandoa wanaomba kupewa wenza.wakisha wapata wanahisi wameshamaliza yote.Wanajisahau kabisa na kuacha kumshukuru na kuomba ulinzi wa Mungu.Mwovu anawagonga kabisa na kuwasambaratisha
 
Tunamhitaji Mungu kwa ajili ya kulinda ndoa zetu.Wanandoa wanaomba kupewa wenza.wakisha wapata wanahisi wameshamaliza yote.Wanajisahau kabisa na kuacha kumshukuru na kuomba ulinzi wa Mungu.Mwovu anawagonga kabisa na kuwasambaratisha
Amen Mtumishi ila ndoa nyingi zinahitaji maombi maana ziko juu ya mawe
 
Shida waoaje wengi sasa hivi wanatamani harusi sio ndoa ie asilimia kubwa wanapenda ile sherehe ya kuhalalisha uroda lakini sio ndoa ambayo ni maisha ya kuishi mkila uroda wa halali.
Mwanaume ukishafikisha hali frani labda kiumri, kifedha au nafasi kwenye jamii watu wanaanza kukusukuma uoe na mwanamke vivyohivyo naye araanza kusukumwa aolewe sasa kinachotokea mwanaume anaangalia katika mawindo yake achukue aoe na mwanamke naye alishakuwa windo na anasukumwa aolewe ili kuwafurahisha watu. Tunasheherekea harusi siku moja baada ya hapo wanaenda kuishi kwenye ndoa hapo ndio wanapokuja kustukia mambo mbalimbali ambayo kila mtu anayo yanaweza kuwa mazuri au mabaya ie tuchukue mabaya ndio huanzisha kuchokana kwa sababu walibebana tu hawata vumiliana ndipo wanaancha kuchepuka
 
Wenye Mko kwenye Ndoa Wapendeni wake zenu. Wake za watu wengi wako desperate sana yaani watu wamefunga ndoa kama wamelazimishana mtu yuko na mume wake hata miaka mingi haijapita ila mke unaona kabisa kamchoka mume wake kwa kila kitu hata kama ana mawe (pesa) mingi, vijana wapendeni wake zenu vinginevyo mtachapiwa sana wake zenu.
Tatizo la wanawake kutoka nje ya ndoa ni kutokana na utamu alokuwa akipewa na wanaume walotembea nae kabla ya kuolewa, kwa mumewe hapati hasa wa kingono.

Pia kingine ni ile hali ya kuzoeana sana. Kutokana na kuishi kwa pamoja sana, mtu ni yuleyule, kucheka ni kulekule, kuongea kulekule, kununa kulekule, kitombo kilekile, wanachokana.

Kwa hali hii mwanamke akiona mwanaume mwingine atampendea kitu kidogo tuu, na jamaa akijiongeza lazma atakula mzigo tuu. Hatimae mwanamke anatoka nje ya ndoa.

Alkazalika na kwa upande wa wanaume ni hivohivo. Ndo maana tunapoelekea ndoa inabidi ziwe za mkataba kama ulaya. Mnawekeana mkataba hata wa kila baada ya miaka miwili,

Mkataba ukiisha kama hamjachokana mnaongeza tena, kama mtakuwa mmechokana baada ya hiyo miaka miwili mkataba ukiisha mnaachana, then kila mtu atafute kifaa kimpya mke na mume mpya na mkataba uendelee.

Dunia ya utandawazi ya sasa wanawake sio tena wale wa zamani. Wanawake wa kileo hata ukioa usijisifu sana, muda wowote anaenda kupasuliwa marinda nje ya ndoa.
 
Kama mzinzi ni mzinzi tu, mume hana kazi moja ya kumchunga na kumpa hiyo care toka dunia nyingine ili tu asichapiwe. Ukiendekeza sana hiki anachokisema mleta uzi, utaishi kwa stress na mambo hayataenda kwa kua na wasiwasi sana na mkeo.

Weka mambo yako fresh, tafuta pesa, jali familia yako baasi, hiyo ya kutaka kumchunga tu eti aaichepuka hilo hutaweza kama ni tabia yake atachepuka tuu.
 
Wake za watu hawaridhiki.

mi ninae huyu

kaahidi kunizalia kabisaa daadek

ananipenda hasa mmeru
Screenshot_20210926-210324.png
Screenshot_20210926-210324.png
 
Wake za watu hawaridhiki.

mi ninae huyu

kaahidi kunizalia kabisaa daadek

ananipenda hasa mmeru
View attachment 1954080View attachment 1954080
Mimi kunalimoja huku, limeshaanza kunipenda, asee toto lipo vzr, jeupeee!!!! la mtelezo afu lainiii!!!! anamikono minene kuelekea mabegani hadi raha, anaiachiaga wazi tuu, pia ana shundu/chura la kueleweka ni mke wa mtu na anamtoto mmoja. Ana miaka kama 38-40 hivi.

Huyu mwanamke ameanza kunipenda mwenyewe na dalili za kunitaka ameshanionesha kabisa.

Kwajinsi alivomzuri na alivo na chura, nimeshajiandaa muda wowote naenda kumsambaratisha marinda. Nimeshapanga na eneo zuri na salama kabisa la kwenda kumtafunia. Nitampiga show kali mpaka akamsimulie mumewe.
 
Mim hata mwanamke nimpende vp nikigundua ana viashiria vya kutokua muaminifu tu achilia mbali kumfumania na mesej au nn yan nikiona kiashiria chchte kle Cha kutokua muaminifu namuacha hapohapo haijalishi ana uzur gani.
Hata siku nikioa sitafungia macho mwanamke asie muaminifu.
 
Back
Top Bottom