Jamaa Fulani Mjuaji
Senior Member
- Jul 25, 2020
- 155
- 278
Hamna mkuu kuna issue zingine ndogo sana waume za watu wanazembea sanaHii ni zinaa tu mkulu hata ukimpa attention yote mpaka unampereka msalani na kumtawaza kama mchepukaji atachepuka tu
Hawa waache kama walivyo
Hapa falsafa zetu zimefananaHii ni zinaa Tu mkulu hata ukimpa attention yote mpaka unampereka msalani na kumtawaza kama mchepukaji atachepuka Tu
Hawa waache kama walivyo
Kuna uwezekano wa kupunguza kidogo hatari za ilo kutokea sana kwa mkeo ukizingatia anachotakaRoho wa ngono kwa kizazi hiki ametawala sana, ni nadra sana kwa mazingira ya dunia hii kumshinda huyo roho wa ngono!
Mitazamo haiendani na uhalisia uliopo mtaanihapa falsafa zetu zimefanana
nilichukua sample kama 10 maeneo tofauti tofauti nimegundua matatizo wanayolalamika nayo ni yanafanana na wengi wanajiapiza kuwa wanajutaUlifanya utafiti kwa wanawake wangapi
Unalijua Pepo la ngono lakini wewe?Kuna uwezekano wa kupunguza kidogo hatari za ilo kutokea sana kwa mkeo ukizingatia anachotaka
kweli!mitazamo haiendani na uhalisia uliopo mtaani
Suluhisho ni hofu ya Mungu, ukiwa na hii hata uchepukaji hautokuepo, kweny hali ngumu utakua nae na kwenye wepes utakua nae mkimshukuru aliewaruzukuWenye Mko kwenye Ndoa Wapendeni wake zenu. Wake za watu wengi wako desperate sana yaani watu wamefunga ndoa kama wamelazimishana mtu yuko na mume wake hata miaka mingi haijapita ila mke unaona kabisa kamchoka mume wake kwa kila kitu hata kama ana mawe (pesa) mingi, vijana wapendeni wake zenu vinginevyo mtachapiwa sana wake zenu.
Mwanamke hajui kupenda yeye ni mazoea Tu akikuzoea tu unapewa kilaini haidharishi ni MKE wa nanihapa falsafa zetu zimefanana
sure kabisa ila kwa dunia hii wenye hofu ya Mungu ni wa kutafuta manake hapa tunakubaliana kua hakuna namna ingineSuluhisho ni hofu ya Mungu, ukiwa na hii hata uchepukaji hautokuepo, kweny hali ngumu utakua nae na kwenye wepes utakua nae mkimshukuru aliewaruzuku
Kichwa cha mada mfumo wa swali,kwenye content umeeleza na kuwaasa tu hao uliowaita vijana.Wenye Mko kwenye Ndoa Wapendeni wake zenu. Wake za watu wengi wako desperate sana yaani watu wamefunga ndoa kama wamelazimishana mtu yuko na mume wake hata miaka mingi haijapita ila mke unaona kabisa kamchoka mume wake kwa kila kitu hata kama ana mawe (pesa) mingi, vijana wapendeni wake zenu vinginevyo mtachapiwa sana wake zenu.
Kichwa cha mada mfumo wa swali,kwenye content umeeleza na kuwaasa tu hao uliowaita vijana.Wenye Mko kwenye Ndoa Wapendeni wake zenu. Wake za watu wengi wako desperate sana yaani watu wamefunga ndoa kama wamelazimishana mtu yuko na mume wake hata miaka mingi haijapita ila mke unaona kabisa kamchoka mume wake kwa kila kitu hata kama ana mawe (pesa) mingi, vijana wapendeni wake zenu vinginevyo mtachapiwa sana wake zenu.
Hii hatari sana aiseeeMwanamke hajui kupenda yeye ni mazoea Tu akikuzoea tu unapewa kilaini haidharishi ni MKE wa nani
kijana haina limiti ya miaka kuna wazee wanaitana vijana tu siku izi, utasikia kijana wa zamaniKichwa cha mada mfumo wa swali,kwenye content umeeleza na kuwaasa tu hao uliowaita vijana.
Basi sawa vijana wamekusoma
wengi sana mimi pia nimeshuhudia na mume unakuta ni ofisa kitengo muhimu kabisaKuna jamaa boya boya tu ila anachapa mke ya mtu fresh kabisa