masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Kwani kuwapenda ndo nini?Wenye Mko kwenye Ndoa Wapendeni wake zenu. Wake za watu wengi wako desperate sana yaani watu wamefunga ndoa kama wamelazimishana mtu yuko na mume wake hata miaka mingi haijapita ila mke unaona kabisa kamchoka mume wake kwa kila kitu hata kama ana mawe (pesa) mingi, vijana wapendeni wake zenu vinginevyo mtachapiwa sana wake zenu.
Na we upo hivyo mkuuSuluhisho ni hofu ya Mungu, ukiwa na hii hata uchepukaji hautokuepo, kweny hali ngumu utakua nae na kwenye wepes utakua nae mkimshukuru aliewaruzuku
Ukifanikiwa kuoa au kuolewa utapata majibuHamna mkuu kuna issue zingine ndogo sana waume za watu wanazembea sana
Umetumia vigezo gani kumwita boyaKuna jamaa boya boya tu ila anachapa mke ya mtu fresh kabisa
Tunamhitaji Mungu kwa ajili ya kulinda ndoa zetu.Wanandoa wanaomba kupewa wenza.wakisha wapata wanahisi wameshamaliza yote.Wanajisahau kabisa na kuacha kumshukuru na kuomba ulinzi wa Mungu.Mwovu anawagonga kabisa na kuwasambaratishaWenye Mko kwenye Ndoa Wapendeni wake zenu. Wake za watu wengi wako desperate sana yaani watu wamefunga ndoa kama wamelazimishana mtu yuko na mume wake hata miaka mingi haijapita ila mke unaona kabisa kamchoka mume wake kwa kila kitu hata kama ana mawe (pesa) mingi, vijana wapendeni wake zenu vinginevyo mtachapiwa sana wake zenu.
Amen Mtumishi ila ndoa nyingi zinahitaji maombi maana ziko juu ya maweTunamhitaji Mungu kwa ajili ya kulinda ndoa zetu.Wanandoa wanaomba kupewa wenza.wakisha wapata wanahisi wameshamaliza yote.Wanajisahau kabisa na kuacha kumshukuru na kuomba ulinzi wa Mungu.Mwovu anawagonga kabisa na kuwasambaratisha
Namshukuru Mungu na namwomba azidi kunipa uaminifi kweny ndoa yanguNa we upo hivyo mkuu
Tatizo la wanawake kutoka nje ya ndoa ni kutokana na utamu alokuwa akipewa na wanaume walotembea nae kabla ya kuolewa, kwa mumewe hapati hasa wa kingono.Wenye Mko kwenye Ndoa Wapendeni wake zenu. Wake za watu wengi wako desperate sana yaani watu wamefunga ndoa kama wamelazimishana mtu yuko na mume wake hata miaka mingi haijapita ila mke unaona kabisa kamchoka mume wake kwa kila kitu hata kama ana mawe (pesa) mingi, vijana wapendeni wake zenu vinginevyo mtachapiwa sana wake zenu.
Mimi kunalimoja huku, limeshaanza kunipenda, asee toto lipo vzr, jeupeee!!!! la mtelezo afu lainiii!!!! anamikono minene kuelekea mabegani hadi raha, anaiachiaga wazi tuu, pia ana shundu/chura la kueleweka ni mke wa mtu na anamtoto mmoja. Ana miaka kama 38-40 hivi.Wake za watu hawaridhiki.
mi ninae huyu
kaahidi kunizalia kabisaa daadek
ananipenda hasa mmeru
View attachment 1954080View attachment 1954080
hahahahahaha nimecheka jamani daaah inasikitisha na inachekeshaWake za watu hawaridhiki.
mi ninae huyu
kaahidi kunizalia kabisaa daadek
ananipenda hasa mmeru
View attachment 1954080View attachment 1954080
hahahahahaha tutakuokota mtaroniKuwa kama mimi oa bia kijana.