Jamaa Fulani Mjuaji
Senior Member
- Jul 25, 2020
- 155
- 278
- Thread starter
-
- #41
hhahahahahaha kumekucha kumekucha huku ndio haya nilikuwa nayasema hapaMimi kunalimoja huku, limeshaanza kunipenda, asee toto lipo vzr, jeupeee!!!! la mtelezo afu lainiii!!!! anamikono minene kuelekea mabegani hadi raha, anaiachiaga wazi tuu, pia ana shundu/chura la kueleweka ni mke wa mtu na anamtoto mmoja. Ana miaka kama 38-40 hivi.
Huyu mwanamke ameanza kunipenda mwenyewe na dalili za kunitaka ameshanionesha kabisa.
Kwajinsi alivomzuri na alivo na chura, nimeshajiandaa muda wowote naenda kumsambaratisha marinda. Nimeshapanga na eneo zuri na salama kabisa la kwenda kumtafunia. Nitampiga show kali mpaka akamsimulie mumewe.
mkuu utaoa wangapi sasa unaonekana una wivu sana wewe jamaa kuna mmoja huko kusini sijui mbeya juzi nasikia kampiga na shoka mkewe hadi kufa saivi yuko ndaniMim hata mwanamke nimpende vp nikigundua ana viashiria vya kutokua muaminifu tu achilia mbali kumfumania na mesej au nn yan nikiona kiashiria chchte kle Cha kutokua muaminifu namuacha hapohapo haijalishi ana uzur gani.
Hata siku nikioa sitafungia macho mwanamke asie muaminifu.
Tupe madini bhaanaNo comment
saana wake za watu mume akimnyima tu bando ukimpa anakupa uleYani ukiwa na hela nowadays utawatafuna sn hawa watu na magonjwa utapata.Mambo yamebadilika sn
TuyaaacheTupe madini bhaana
Mi sina wivu ila kugongewa mwanamke hiyo ni dharau iliyovuka mipaka na kosa siyo la mwanaume anaemgonga kosa ni la huyo mwanamke maana kama anakuheshimu hawezi kukuvua utu wako na aende kugongwa na msela mwngne hiyo ni dharau iliyovuka mipaka suala hilo hata aje anisuluhishe mama yangu mzazi sitakua tayari kulisamehe nitaachana na huyo mwanamke.mkuu utaoa wangapi sasa unaonekana una wivu sana wewe jamaa kuna mmoja huko kusini sijui mbeya juzi nasikia kampiga na shoka mkewe hadi kufa saivi yuko ndani
Kuna vitu unasahau sijasema kumchunga nimesema ndoa inakosa mvuto kwa walengwa wanaume wanasahau wake zao wanaanza kutaka furaha nje ya waume zaoKama mzinzi ni mzinzi tu, mume hana kazi moja ya kumchunga na kumpa hiyo care toka dunia nyingine ili tu asichapiwe. Ukiendekeza sana hiki anachokisema mleta uzi, utaishi kwa stress na mambo hayataenda kwa kua na wasiwasi sana na mkeo.
Weka mambo yako fresh, tafuta pesa, jali familia yako baasi, hiyo ya kutaka kumchunga tu eti aaichepuka hilo hutaweza kama ni tabia yake atachepuka tuu.
Limekuwa janga nowWenye Mko kwenye Ndoa Wapendeni wake zenu. Wake za watu wengi wako desperate sana yaani watu wamefunga ndoa kama wamelazimishana mtu yuko na mume wake hata miaka mingi haijapita ila mke unaona kabisa kamchoka mume wake kwa kila kitu hata kama ana mawe (pesa) mingi, vijana wapendeni wake zenu vinginevyo mtachapiwa sana wake zenu.
EwaaaaaaKumchunga mtu mzima ni vigumu sana
Mkuu hili jambo umeandika halina formula ujue.Wenye Mko kwenye Ndoa Wapendeni wake zenu. Wake za watu wengi wako desperate sana yaani watu wamefunga ndoa kama wamelazimishana mtu yuko na mume wake hata miaka mingi haijapita ila mke unaona kabisa kamchoka mume wake kwa kila kitu hata kama ana mawe (pesa) mingi, vijana wapendeni wake zenu vinginevyo mtachapiwa sana wake zenu.
True love kutoka kwa mke wa mtu🤣🤣😄View attachment 1954122View attachment 1954122
Yupo yupo tu mtaani anaeleaUmetumia vigezo gani kumwita boya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuwa kama mimi oa bia kijana.
[emoji23][emoji23][emoji23]Umetumia vigezo gani kumwita boya
Nipe Namba za huyu mke wa mtu nimkanye kuwa tabia hii sio nzuri.