Kwanini wake za watu wengi wanaongoza kuchepuka?

hhahahahahaha kumekucha kumekucha huku ndio haya nilikuwa nayasema hapa
 
mkuu utaoa wangapi sasa unaonekana una wivu sana wewe jamaa kuna mmoja huko kusini sijui mbeya juzi nasikia kampiga na shoka mkewe hadi kufa saivi yuko ndani
 
mkuu utaoa wangapi sasa unaonekana una wivu sana wewe jamaa kuna mmoja huko kusini sijui mbeya juzi nasikia kampiga na shoka mkewe hadi kufa saivi yuko ndani
Mi sina wivu ila kugongewa mwanamke hiyo ni dharau iliyovuka mipaka na kosa siyo la mwanaume anaemgonga kosa ni la huyo mwanamke maana kama anakuheshimu hawezi kukuvua utu wako na aende kugongwa na msela mwngne hiyo ni dharau iliyovuka mipaka suala hilo hata aje anisuluhishe mama yangu mzazi sitakua tayari kulisamehe nitaachana na huyo mwanamke.
 
Kuna vitu unasahau sijasema kumchunga nimesema ndoa inakosa mvuto kwa walengwa wanaume wanasahau wake zao wanaanza kutaka furaha nje ya waume zao
 
Hill
Limekuwa janga now
 
Mkuu hili jambo umeandika halina formula ujue.

Hivi unavyosema vijana wawapende wake zao, je inawezekana mwanaume ukaishi na mwanamke bila kumpenda?

Halafu wewe uneandika kwa kujiamini kabisa kwamba haugongewi mkeo kwa sababu unampenda, unajibungua bongo kwa kuidanganya nafsi yako bila ya kutafiti.

Hapo ulipo unagongewa bila kuhisi dalili kwa sababu saikolojia yako ulishaiaminisha kwamba jambo hilo hauwezi kutendewa, kisha unampenda sana mkeo!

Kuchepuka kwa wanawake kunasabaishwa na mambo mengi sana, tukiyataja hapa utashangaa na utabishi.

Sababu moja wapo ni hii akigundua kama wewe mmewe 'umemfia' na hauna la kumfanya kwa jambo lolote na hauna pengine pa kushika.
 
Ukishaoa,unajua busy na life,malovee huwezi yaendekeza Sana.
Na ulitaka kufeli maisha,wekeza akili zako kwenye mapenzi,sir wengine tunaiza chips huku vyuoni,Kama tungekua tunaendekeza mapenzi Basi tungefilisika,maana girls kibao,wanakuzunguka anytime,full kujibebisha,naona kamanda ungefanya kazi Kama yangu,sijui ingekuaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…