we mwenyewe umechapia uzi wako wote mpaka unatia kichefu chefuNikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Mtoa mada ameandika makosa madogomadogo sanawe mwenyewe umechapia uzi wako wote mpaka unatia kichefu chefu
'Rugha' ndio nini, jameni mnatia kichefuchefu, uandishi wenu wa Kiswahili ni ovyo, Kingereza kilishawapiga chenga, lugha zenu za asili ziliwashinda eti mnasema ni ushamba, mnaishi kama watu wasiokua na asili yaani watumwa.Kwani kingereza ni rugha yenu?! Kama mnaongea kiswahili kibovu na hata kingereza mtakuwa mnaongea cha hovyo
Haya mmoja huyu hapa rudi hapa akufunze kiswahili usikimbie...hizo r r zinasimamaje ktk sentence zenye L?'Rugha' ndio nini, jameni mnatia kichefuchefu, uandishi wenu wa Kiswahili ni ovyo, Kingereza kilishawapiga chenga, lugha zenu za asili ziliwashinda eti mnasema ni ushamba, mnaishi kama watu wasiokua na asili yaani watumwa.
Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Kwani kingereza ni rugha yenu?! Kama mnaongea kiswahili kibovu na hata kingereza mtakuwa mnaongea cha hovyo
watoto waarusha walipopata ajari
cc Faiza foxKwani kingereza ni rugha yenu
We jamaa maandishi yako sijui umejifunzia wapi.Kwani kingereza ni rugha yenu?! Kama mnaongea kiswahili kibovu na hata kingereza mtakuwa mnaongea cha hovyo
Kuna wanaodai ni lugha ya kishamba, wakifikiri Kwa kusema hivyo wanawaumiza waTz. Ila ni uamuzi, kama unaona kina kusaidia kitumie.Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk