Kiswahili chako ni kibovu kuliko hata hao wakenya jitafakari kwanza kumbuka unapomnyooshea mwenzako kidole vitatu vinakutizama weweNikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk
Haha ati abomination?Abomination!
Wewe bwana hebu acha porojo! Huyo anamshinda mleta mada lakini sio wengine! Nashangaa unamsifia kwa lipi wakati huo ujumbe wake alioandika umejaa makosa mengi ya kisarufi!
Au basi tupe mtihani wa wazi mimi na MK254
Kama huamini weka open test hapa tufanye mimi na MK254,Haha ati abomination?
Tafadhali usiombe kushindana na Mkenya kwa mtihani wa Kiswahili cha makaratasi, hapo atakushinda vibaya . Kiswahili cha kuzungumza ndio pengine......
Btw, ningependa kumsikiliza MK254 akizungumza Kiswahili, is it as poetic as vile huziporomosha humu Jf?
Wewe unaangalia makosa madogo ya kisarufi badala ya mpangilio na mtiririko wake wa maneno? Jamaa ako sawa despite hizo makosa madogo. Hata watanzania kama mwanzilishi wa hii thread hufanya makoaa katika uandishi na maongezi.Kama huamini weka open test hapa tufanye mimi na MK254,
Wewe unamsifia wakati mimi naona kuna makosa kwenye uandishi wake, hatusemi maana sio malengo ya jukwaa!
Kama huamini subiri comment ya MK254 inayofuata hapa utaona makosa ya kisarufi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Wewe unaangalia makosa madogo ya kisarufi badala ya mpangilio na mtiririko wake wa maneno? Jamaa ako sawa despite hizo makosa madogo. Hata watanzania kama mwanzilishi wa hii thread hufanya makoaa katika uandishi na maongezi.
Anyway, mimi siko sawa sana kwenye lugha ya Kiswahili, ni kuhitahidi tu. Siwezi kusimamia hiyo open test kati yenyu.
Hivi sasa ninasoma kijimagazine flani hapa ya hawa maWitnesses wa Jehova, imeandikwa kwa Kiswahili safi sana, napenda wanavyochanganua mambo flani ya kisayansi hapa.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]we mwenyewe umechapia uzi wako wote mpaka unatia kichefu chefu
Haha ati abomination?
Tafadhali usiombe kushindana na Mkenya kwa mtihani wa Kiswahili cha makaratasi, hapo atakushinda vibaya . Kiswahili cha kuzungumza ndio pengine......
Btw, ningependa kumsikiliza MK254 akizungumza Kiswahili, is it as poetic as vile huziporomosha humu Jf?
Hehehehe!! Kawaida huwa naendana na matabaka yote, ukinikuta kwa Wapemba kule Zanzibar huwa natiririka Kiswahili chao hadi raha, halafu nikiibukia Dar nawabadilishia kwa lafudhi yao ya Wazaramo. Nikigeuza na kurudi Nairobi natema yai mjini hadi basi, na nikiwa kitaa Nrb nawashushia sheng kwa raha zangu.
Japo sheng ya siku hizi kidogo hunichanganya....vijana wamebuni maneno mapya hadi nahisi kama nimezeeka vile.
Kiswahili cha zenji huwezi hata kidogo wewe kama unabisha basi reply hapa kwa hicho kiswahili cha visiwa vya karafuu tuone huo umahiri wako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hehehehe!! Kawaida huwa naendana na matabaka yote, ukinikuta kwa Wapemba kule Zanzibar huwa natiririka Kiswahili chao hadi raha, halafu nikiibukia Dar nawabadilishia kwa lafudhi yao ya Wazaramo. Nikigeuza na kurudi Nairobi natema yai mjini hadi basi, na nikiwa kitaa Nrb nawashushia sheng kwa raha zangu.
Japo sheng ya siku hizi kidogo hunichanganya....vijana wamebuni maneno mapya hadi nahisi kama nimezeeka vile.
Umeshawasikiliza wakenya wangapi mpaka kuhitimisha kuwa hawajui Kiswahili? Ina maana wewe hujawahi kukutana na watanzania wasioweza kuzungumza Kiswahili fasaha?Nikiwasikiliza wakenya matamshi yao,huwa naskia kichefuchefu,mfano siku ile watoto waarusha walipopata ajari nilimsikia raisi wao kwenye kampeni akisema "nawauliza ndugu zangu tusimame dakika moja kuwaombea watoto...." Kwa hiyo ndugu zangu jitaidini kuongea vizuri kama watz,Rwanda Burundi ,Zanzibar Nk