Kwanini Wakenya wana chuki sana dhidi ya Tanzania?

[emoji3][emoji3]si ndio ualimu wa chekechea au??

huko kwenu naskia nayo ni lugha ya taifa[emoji23][emoji23][emoji23].
 
Ushamba ni kushabikia lugha ya mkoloni. Bado upo utumwani wewe
 
[emoji3][emoji3]si ndio ualimu wa chekechea au??

huko kwenu naskia nayo ni lugha ya taifa[emoji23][emoji23][emoji23].
Kama haujajua lijue basi, kwenu huko viongozi na Watanzania wenye hela wameamua watoto wao hawatakua mazezeta kama nyie wengine msojua English, hivyo wanatumia hela nyingi sana kwenye elimu ya chekechea na msingi kwa watoto wao, ni dili la kufa mtu yaani. Kwanza wengine wanaalikwa hadi nyumbani kuwapa hao viongozi elimu ya kuongea kingereza.
St Kayumba kama nyie mumeganda hapo Buza mkiongopeana eti uzalendo ni kutokujua kingereza maana kiliwashinda, wakati wenye hela na busara wameshaliona na kujipanga.
Yeah kingereza n mojawapo wa lugha rasmi Kenya, aiisei nakipenda yaani raha tu kwanza nikiwa kwenye kikao Bongo halafu itumike Kingereza huwwa napata raha sana nikiwafunika wote mnapoganda kwenye ze ze ze
 
unazungumzia viongozi gani!!!!viongozi wenye pesa wanapeleka watoto shule zifuatazao, feza group,tusiime,st marry's,na baadhi IST.zamani 90s walikiwa wanaleta watoto kenya,ikaja fahamika kumbe ni kiingereza tu wanafundishwa[emoji38][emoji38][emoji38]watoto wanatoka na maalifa ya kuku.

haya humo kwenye shule za ada 1ml-3mln, hakuna walimu wa kenya now,yaani kifupi waalimu wa kiingereza wamejaa tz now.ndio sababu hata mmeanza kufukuzwa maana wengi wenu hata vibali vya kuishi hamna.

bahati mbaya unajiskia raha tu kuongea kiingereza mbele ya mweusi mwenzako,ila mbele ya mchina asipokuelewa unaelewa kwamba sio lugha yake ya taifa[emoji38][emoji38][emoji38],kichwa nundu katika ubora wenu.
 

Hizo shule zinafundishwa na Wakenya maana nyie watu wa ze ze ze hamuwezani bana, ila pia kuna wengi wanaleta watoto wao huku, nilishangaa sana kuona Mtanzania ameleta mwanaye asomee kwenye shule fulani huku Kenya maeneo ya ndani sana, tena jamaa alikua anendesha gari lal kifahari maana kwamba sio kajamba wa kawaida kama nyie huko Buza.
Kingereza kina raha sana bana...napenda kukitumia kwanza nikija kweu huko yaani hehehe
 
Hiyo ni SGR mzee, siyo daraja la kuvusha watu, mikokoteni, baiskeli, pikipiki na magari
View attachment 1678963View attachment 1678964
 

Ofisi yako iko wapi chief uletewe mzigo. Niambie na mahitaji yako kwa wiki. Ila mahindi yana bei mbaya. Mpunga upo tu hauna wanunuzi.
 
Do you know the so called Dr JOHN POMBE MAGUFURI BRIDGE? IT IS OVER 3 KM BRIDGE CROSSING LAKE VICTORIA IN MWANZA.OFFCOURSE STILL UNDER CONSTRUCTION.


 
Do you know the so called Dr JOHN POMBE MAGUFURI BRIDGE? IT IS OVER 3 KM BRIDGE CROSSING LAKE VICTORIA IN MWANZA.OFFCOURSE STILL UNDER CONSTRUCTION.

Humu tunazungumza kuhusu vitu vinavyotumika, huko kwenu niliona Harmonize akiimba kwenye wimbo wa kufanyia CCM kampeni, akisema mnateleza kwa SGR, nikawa nimeshangaa lini mlianza kusafiri kwa SGR.
 
Hehehe wacha kuchekesha wewe....hebu acha mawenge usome upya...
Ndio maana nawaambia mfundishwe English, acheni uzembe.
Nilikuwa na tani moja ya chakula, mchele ambao nimekula tangu june 2020 hadi sasa sijamaliza. Njoo nikupe kilo 100 zikufae wakati wa njaa huko kibera
 
Nilikuwa na tani moja ya chakula, mchele ambao nimekula tangu june 2020 hadi sasa sijamaliza. Njoo nikupe kilo 100 zikufae wakati wa njaa huko kibera
Mazezetas ikifikia hali ya wali na chakula nzuri medali ni yenyu.
You are world champions ubishi hamna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…