Kwanini Wakenya wengi wanasema mlima Kilimanjaro uko nchini kwao?

Kwanini Wakenya wengi wanasema mlima Kilimanjaro uko nchini kwao?

Superb! Excellent! Historia nzuri sana. Kumbe mchora msitari ali,uwa ameweka kidoke chake kwvenye rule pale mlimani, I,akota kona ipo hadi leo. Inadhirisha finally wakoloni walivyotuchezea, wengine wanasema Queen Victoria alitoa hepibethidei kwa Fuehrer wa Ujeremani akampa Mlima Kilimanajaro. Lakini kusema kweli view nzuri kabisa ya Mlima utaiona ukiwa Kijiji cha Lukani (kwa kina Mhe. Sashisha, huyu mbunge aliyemng'oa Mbowe). View nzuri ya pili ni kutoka upande wa pili, mbuga ya wanyama ya Amboseli nji ya Kenya. Walie tu!
 
Kwa miaka mingi kumekuwepo na baadhi ya wakenya wamekuwa wakisema na kutangaza huko duniani kuwa Mlima Kilimanjaro unapatikana ndani ya nchi yao
Wakenya wanaongelea mlima Kilimanjaro upo nchini mwao,kwa sababu Wakenya wengi ni vilaza,hawajui Geography.Wengine wachache wanatumia hiyo proganda kujinufaisha kibiashara!
 
Hata sisi Watanzania wenyewe ni VILAZA tu. Hatuweki nguvu stahiki kujitangaza mlima Kilimanjaro. Kwa mfano kuna zile Ndege kubwa za Dreamliners 2 alizonunua Meko, huwezi kuamini majina ziliyopewa. Najuwa moja imeandikwa Rubondo Island.

Wakati Ndege za Kenya au mabango ya Ethiopian Airways na KLM yanasema kuwa Ndege zao zinaweza kukufikisha kuiona Serengeti National Park na Mt Kilimanjaro.

Tusiwalaumu Wakenya, sisi tupo kujikomba kwa Meko. Sijui itakuwaje mashine ya oxygen ikizimwa
 
Hata sisi Watanzania wenyewe ni VILAZA tu. Hatuweki nguvu stahiki kujitangaza mlima Kilimanjaro. Kwa mfano kuna zile Ndege kubwa za Dreamliners 2 alizonunua Meko, huwezi kuamini majina ziliyopewa. Najuwa moja imeandikwa Rubondo Island.

Wakati Ndege za Kenya au mabango ya Ethiopian Airways na KLM yanasema kuwa Ndege zao zinaweza kukufikisha kuiona Serengeti National Park na Mt Kilimanjaro.

Tusiwalaumu Wakenya, sisi tupo kujikomba kwa Meko. Sijui itakuwaje mashine ya oxygen ikizimwa
Upo sawa hizo ndege zikiingia katika anga la tanzania huwa wanakula round moja ya ziada kuwatembeza waliomo katika maeneoa ya mountains views kwa kijisababu cha kutua KIA.
 
Kenya haijawahi kusema Mlima Kilimanjaro uko kwao. Wanakuwa wanawaambia watu wanaina gani wasiofahamu historia??

Wanachokifanya ni hiki - kuonesha kuwa wanaweza kukufikisha mlima kilimanjaro kwa urahisi na kukupa unforgatable experiences. Na walifanya hivo baada ya kuona sisi tumelala hatuutangazi inavotakiwa!!

Tulikuwa wazembe kwa mambo mengi. Ni bora sasa hivo baada ya kuishikilia technolojia!!
 
Hata sisi Watanzania wenyewe ni VILAZA tu. Hatuweki nguvu stahiki kujitangaza mlima Kilimanjaro. Kwa mfano kuna zile Ndege kubwa za Dreamliners 2 alizonunua Meko, huwezi kuamini majina ziliyopewa. Najuwa moja imeandikwa Rubondo Island.

Wakati Ndege za Kenya au mabango ya Ethiopian Airways na KLM yanasema kuwa Ndege zao zinaweza kukufikisha kuiona Serengeti National Park na Mt Kilimanjaro.

Tusiwalaumu Wakenya, sisi tupo kujikomba kwa Meko. Sijui itakuwaje mashine ya oxygen ikizimwa
Ila pia zimeandikwa the wings of kilimanjaro ndege zote za air tanzania
 
Hiyo stori yako haileti maana namna kilimanjaro ilivyotoka Kenya kuja Tanzania.

Msitupandikize hadithi za kutunga.
 
[emoji1787][emoji1787] I think your point is about people reading the book. We know it all whether or without the book but helpful to readers thanks. We all studied here in Tanzania born and raised and we all know about our country there is no need to insist us on the boundaries and Mt kili we appreciate but we know. I think one should create a greater argument than this, huu si ubunifu au si hoja yenye nguvu nadhani Landa ungeleta hoja kama nini kifanyike ili Tanzania inufaike na mjusi wake alio ujerumani. Something like that, so that everyone does lay out their thoughts on how it should be handled, these are the current issues living but your boundaries thing it's done Kunyaland watapambana hali yao. Hoja yako nzuri but in a wrong time and century, bora ungeleta Hoja kwann kiwanda cha korosho kiwe kaskazini na SIO KOSINI?! NI MTAZQMO TU
Kwa miaka mingi kumekuwepo na baadhi ya wakenya wamekuwa wakisema na kutangaza huko duniani kuwa Mlima Kilimanjaro unapatikana ndani ya nchi yao

Ni jambo ambalo limekuwa likiendelea kwa muda mrefu sana,mpaka kufikia kwa baadhi ya wageni( watalii) kutoka nchi mbalimbali duniani, kuamini kuwa mlima huo mrefu kabisa barani Africa kweli unapatikana nchini Kenya

Ukipata muda tafuta kitabu kinaitwa
"Why Tanzania is where it is: Tanzania's Colonial Boundaries from the Berlin Conference, 1884-1885 until its independence" kitabu hiki kimeandikwa na mjerumani Profesa Heinz Schneppen

Kwenye kitabu hicho, kinaeleza kuwa kabla ya mwaka 1890 mlima Kilimanjaro na bandari ya Mombasa, zote zilikuwa Kenya,
kwenye himaya ya waingereza

Lakini baadaye kukawa na mabishano makubwa sana, kati ya waingereza na wajerumani kwenye kugombea umiliki wa ziwa Victoria

Sababu kubwa ya mabishano hayo, ilikuwa ni kutafuta chanzo cha mto Nile, ndani ya ziwa Victoria, kwa sababu kwa wakati huo, ilikuwa ukipata chanzo cha mto Nile unakamata Sudan , Misri na bahari ya Mediterranean,ambayo ilikuwa ni muhimu sana kwa wakati kwa sababu ya usafirishaji kwa bara la ulaya

Baada ya Uingereza kupata chanzo cha mto Nile, kule Jinja nchini Uganda, ndipo wakakubaliana kuchora mipaka upya kupitia mkataba wa Ango- Germany treaty wa tarehe 01 July 1890, ambapo Ujerumani walipewa 51% ya ziwa Victoria

Ndipo mpaka wa himaya ya wajerumani (Tanganyika) ukahama kutoka kusini ya Musoma na kupanda juu mpaka kaskazini ya Musoma haya yameelezwa kwenye kitabu kinaitwa "International boundaries of East Afrika", kilichoandikwa na A.C McEwen mwaka 1971

Ambapo sasa mlima Kilimanjaro na Mombasa zote zikaangukia ndani ya himaya ya wajerumani ( Tanganyika)

Kwa hiyo sasa, bandari zote katika pwani ya Afrika mashariki, zikawa zimeingia ndani ya himaya ya wajerumani ( Tanganyika)

Ndipo Waingereza wakaomba kupewa Mombasa ili na wao wawe na bandari

Na ndio mstari ule wa mpaka ukapindishwa pale kwenye mlima Kilimanjaro na kunyosha mpaka chini, ili Mombasa iwe ndani ya himaya ya Waingereza


Nadhani ndio sababu mpaka leo Wakenya wengi wanaamini mlima Kilimanjaro ni mali yao, kitu ambacho sio sahihi, Mlima Kilimanjaro uko Tanzania, kutokana na mipaka iliyochorwa na wakoloni
,
 
Jk kaacha Udom, Chuo cha Mandela, ESAMI, B,Mkaka hosp, Mwl Nyerere, JKCI, Chuo cha Mipango, MOi, barabara kibao, madaraja, ajira n.k lakini hatukuwahi kumuona anajisifia hata siku moja.
 
Mombasa ni eneo la Zanzibar na haikuwahi kuwa chini ya himaya nyengine yoyote kabla kukodishwa watawala wa Kenya na Mfalme wa Zanzibar. Bahati mbaya mapinduzi ya Zanzibar ya 64 yamesambaratisha mambo mengi ambayo yamezikwa mpaka hii leo, no wonder British/ U.S/ Israel pamoja na mataifa ya E.A Tanganyika, Kenya na Uganda wote wote walihusika directly na yale mapinduzi.
 
Back
Top Bottom