patience96
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 1,353
- 574
Salaam wana JF.
Wilaya ya Ukerewe ni kisiwa chenye hazina ya wasomi kibao ktk nyanja tofauti tofauti! Hadi mwaka 2005 kulikuwa na Ma-Professor takribani 65 ukiacha wachache kama Prof. Machunda waliotangulia mbele ya haki. Tatizo la wana UK hawana utamaduni wa kujenga nyumba makwao. Mkerewe yuko radhi kujenga nyumba tatu au nne hivi mikoa ya Mwz, Dsm, Arusha n.k. na sio Ukerewe. Why???
Anyway baadhi yao wameanza kuonyesha
nia. Mfano: mama yetu wa Beijing (ex MP Ukerewe); Mzee wetu wa sauti nzito (ex speaker wa bunge); Dr. X , Bingwa wa magonjwa ya moyo Muhimbili; Pr. Migiro; ukweni kwa Waziri wa umeme n.k. Hawa mambo yao ni mazuri makwao/ukweni na baadhi ya wengine. Nauliza kwanini wengi wao hawapendi kujenga makwao hali uwezo wanao???
Wenyewe wana msemo: 'Omukerebe ni mpere, okunyama waginyamila bhe'
Wilaya ya Ukerewe ni kisiwa chenye hazina ya wasomi kibao ktk nyanja tofauti tofauti! Hadi mwaka 2005 kulikuwa na Ma-Professor takribani 65 ukiacha wachache kama Prof. Machunda waliotangulia mbele ya haki. Tatizo la wana UK hawana utamaduni wa kujenga nyumba makwao. Mkerewe yuko radhi kujenga nyumba tatu au nne hivi mikoa ya Mwz, Dsm, Arusha n.k. na sio Ukerewe. Why???
Anyway baadhi yao wameanza kuonyesha
nia. Mfano: mama yetu wa Beijing (ex MP Ukerewe); Mzee wetu wa sauti nzito (ex speaker wa bunge); Dr. X , Bingwa wa magonjwa ya moyo Muhimbili; Pr. Migiro; ukweni kwa Waziri wa umeme n.k. Hawa mambo yao ni mazuri makwao/ukweni na baadhi ya wengine. Nauliza kwanini wengi wao hawapendi kujenga makwao hali uwezo wanao???
Wenyewe wana msemo: 'Omukerebe ni mpere, okunyama waginyamila bhe'