Kwanini wakristo wote duniani wasiwe watiifu na kuacha kusherehekea krismas kwa kuomboleza Gaza kama wanavyofanya Bethelehem

Kwanini wakristo wote duniani wasiwe watiifu na kuacha kusherehekea krismas kwa kuomboleza Gaza kama wanavyofanya Bethelehem

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Baraza la mji wa Bethelehem mahali alipozaliwa Yesu a.s limepiga marufuku kabisa kusherehekea krismas kwa nia ya kuwaunga mkono wapalestina wanaouliwa na mayahudi kila leo.
Kuonesha nia safi katika hilo wamebomoa mapambo yote yenye dalili ya furaha katika mji huo.Zaidi wamebadili picha ya Yesu a.s na kumuonesha akiwa kichanga kilichozungukwa na maporomoko ya majengo huku akivalishwa skafu ya chama cha Fatah.
Muhimu ninachotaka kuuliza hapa hivi kuna umuhimu wowote wa wakiristo wengine duniani kusherehekea krismas ilhali pale alipozaliwa Mtume huyo kipenzi pakiwa pako kimya kabisa.
 
Baraza la mji wa Bethelehem mahali alipozaliwa Yesu a.s limepiga marufuku kabisa kusherehekea krismas kwa nia ya kuwaunga mkono wapalestina wanaouliwa na mayahudi kila leo.
Kuonesha nia safi katika hilo wamebomoa mapambo yote yenye dalili ya furaha katika mji huo.Zaidi wamebadili picha ya Yesu a.s na kumuonesha akiwa kichanga kilichozungukwa na maporomoko ya majengo huku akivalishwa skafu ya chama cha Fatah.
Muhimu ninachotaka kuuliza hapa hivi kuna umuhimu wowote wa wakiristo wengine duniani kusherehekea krismas ilhali pale alipozaliwa Mtume huyo kipenzi pakiwa pako kimya kabisa.
Hao watu na mnuso hauwezi kuwaambia kitu
 
Baraza la mji wa Bethelehem mahali alipozaliwa Yesu a.s limepiga marufuku kabisa kusherehekea krismas kwa nia ya kuwaunga mkono wapalestina wanaouliwa na mayahudi kila leo.
Kuonesha nia safi katika hilo wamebomoa mapambo yote yenye dalili ya furaha katika mji huo.Zaidi wamebadili picha ya Yesu a.s na kumuonesha akiwa kichanga kilichozungukwa na maporomoko ya majengo huku akivalishwa skafu ya chama cha Fatah.
Muhimu ninachotaka kuuliza hapa hivi kuna umuhimu wowote wa wakiristo wengine duniani kusherehekea krismas ilhali pale alipozaliwa Mtume huyo kipenzi pakiwa pako kimya kabisa.
ina maana chatu akiingia katika zizi la kuku huwezi kumuua ikiwa siku hiyo ni xmass? au huwezi kupiga kelelele za mwizi kama kibaka kakuibia bahasha ya mshalala siku ya xmass? kwa nini hao waarabu wa bethlehemu wasilaani Hamas na kuiamuru iachie mateka wote iliyowashililia?
 
baraza la usalama la umoja wa mataifa lina member 80% wanachama wa OIC,nchi zote za kiarabu na nchi ya sauth africa. maajabu yake nim kwamba nchi zote hizo hazikulaani kitendo cha HAMAS kuuwa waisraeli 1400! wala kusisitiza mateka wote waachiwe mara moja ili vita iishe. nchi hizo zinataka Israel isitishe vita halafu HAMASi ashangiliwe!Hisbollah karusha makombola 12000 kuichokoza Israel. Sauth Africa imekaa kimyaaaaaa. sasa Israel ikiichapa lebanon utaona Sauth Africa inafunga ubalozi pale tel aviv kuilaani israel.MAREKANI IPO SAHIHI SIKU ZOTE KUITETETEA TEL AVIV NA RAIA ZAKE!
 
WEWE MLETA MADA HII SIO RAIA WA TANZANIA. Hamas Kaua watanzania wawili halafu bado unaishabikia miarabu miuaji ya kipalestina1 AU SABABU WALE WALIOUWAWA NI WAKRISTO NDO MAANA HAIKUUMI KAMA IKUUMAVYO MIPALESTINA IKINYONGWA!
 
Baraza la mji wa Bethelehem mahali alipozaliwa Yesu a.s limepiga marufuku kabisa kusherehekea krismas kwa nia ya kuwaunga mkono wapalestina wanaouliwa na mayahudi kila leo.
Kuonesha nia safi katika hilo wamebomoa mapambo yote yenye dalili ya furaha katika mji huo.Zaidi wamebadili picha ya Yesu a.s na kumuonesha akiwa kichanga kilichozungukwa na maporomoko ya majengo huku akivalishwa skafu ya chama cha Fatah.
Muhimu ninachotaka kuuliza hapa hivi kuna umuhimu wowote wa wakiristo wengine duniani kusherehekea krismas ilhali pale alipozaliwa Mtume huyo kipenzi pakiwa pako kimya kabisa.
Yaan usitishe kufanya mapumziko yako kisa wapuuz waliojitakia vita. Waache wale kichapo Mzee. Ukitaka kuruka uagane na nyonga sio unalialia kwa ujinga ulioanzisha mwenyewe
 
Baraza la mji wa Bethelehem mahali alipozaliwa Yesu a.s limepiga marufuku kabisa kusherehekea krismas kwa nia ya kuwaunga mkono wapalestina wanaouliwa na mayahudi kila leo.
Kuonesha nia safi katika hilo wamebomoa mapambo yote yenye dalili ya furaha katika mji huo.Zaidi wamebadili picha ya Yesu a.s na kumuonesha akiwa kichanga kilichozungukwa na maporomoko ya majengo huku akivalishwa skafu ya chama cha Fatah.
Muhimu ninachotaka kuuliza hapa hivi kuna umuhimu wowote wa wakiristo wengine duniani kusherehekea krismas ilhali pale alipozaliwa Mtume huyo kipenzi pakiwa pako kimya kabisa.
Subiri siku ya Idd msisherekee kuombeleza

Sent from my Mi A2 using JamiiForums mobile app
 
Baraza la mji wa Bethelehem mahali alipozaliwa Yesu a.s limepiga marufuku kabisa kusherehekea krismas kwa nia ya kuwaunga mkono wapalestina wanaouliwa na mayahudi kila leo.
Kuonesha nia safi katika hilo wamebomoa mapambo yote yenye dalili ya furaha katika mji huo.Zaidi wamebadili picha ya Yesu a.s na kumuonesha akiwa kichanga kilichozungukwa na maporomoko ya majengo huku akivalishwa skafu ya chama cha Fatah.
Muhimu ninachotaka kuuliza hapa hivi kuna umuhimu wowote wa wakiristo wengine duniani kusherehekea krismas ilhali pale alipozaliwa Mtume huyo kipenzi pakiwa pako kimya kabisa.
Hao waachane na mambo ya siasa, Waislam wenyewe wanasherekea Christmas sembuse Wakristu ?
Hamas walifanya kitendo cha kigaidi ambacho hakuna yoyote mwenye akili timamu anaweza kuwaunga mkono. Ila pia si huwa mnasena mwislamu akifia vitani ni moja kwa moja anaingia ahera? Kama ndivyo, kuna haja ya kuandaa maandamano kumpongeza Netanyahu kwani kapeleka ahera waislam wengi pengine zaidi ya hata alivyofanya Muhammad.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Baraza la mji wa Bethelehem mahali alipozaliwa Yesu a.s limepiga marufuku kabisa kusherehekea krismas kwa nia ya kuwaunga mkono wapalestina wanaouliwa na mayahudi kila leo.
Kuonesha nia safi katika hilo wamebomoa mapambo yote yenye dalili ya furaha katika mji huo.Zaidi wamebadili picha ya Yesu a.s na kumuonesha akiwa kichanga kilichozungukwa na maporomoko ya majengo huku akivalishwa skafu ya chama cha Fatah.
Muhimu ninachotaka kuuliza hapa hivi kuna umuhimu wowote wa wakiristo wengine duniani kusherehekea krismas ilhali pale alipozaliwa Mtume huyo kipenzi pakiwa pako kimya kabisa.
Tunasherehekea kumuunga mkono Netanyahu aendelee kuyafumua mahamas
 
honestly wengine tunafurahia wanavyo pelekewa fire

hatutaki kabisa kusikia iyo ceasefire ya kinafiki Hamas wajipe ushindi wa mezani

acha moto uwake uzuri vita waga vinajiishia vyenyewe kama covid ilivyo ondoka vyenyewe

Israel do us favor avenge the death of our beloved brothers
 
Vita au mapigano kati ya Israel na Palestina hayajakaa kidini.
Kwa vyovyote vile wakristo wa Bethelehem wameona huruma na kusitisha sherehe zote.Kwani huruma za wakristo ziishie Bethelehem peke yake.
 
ina maana chatu akiingia katika zizi la kuku huwezi kumuua ikiwa siku hiyo ni xmass? au huwezi kupiga kelelele za mwizi kama kibaka kakuibia bahasha ya mshalala siku ya xmass? kwa nini hao waarabu wa bethlehemu wasilaani Hamas na kuiamuru iachie mateka wote iliyowashililia?
Kwa hivyo unapingana na ufahamu wa wakristo pale alipozaliwa Yesu na unakubali ufahamu wa papa Francis peke yake ambaye yuko mbali sana na asili ya Yesu a.s
 
WEWE MLETA MADA HII SIO RAIA WA TANZANIA. Hamas Kaua watanzania wawili halafu bado unaishabikia miarabu miuaji ya kipalestina1 AU SABABU WALE WALIOUWAWA NI WAKRISTO NDO MAANA HAIKUUMI KAMA IKUUMAVYO MIPALESTINA IKINYONGWA!
Tuna huruma sana na vifo vya watanzania wenzetu japo kuna utata juu ya vifo vyao.Sababu na pahala walipouliwa.Nataraji umeshasoma nyuzi nyengine juu ya suala hilo.
 
Subiri siku ya Idd msisherekee kuombeleza

Sent from my Mi A2 using JamiiForums mobile app
Pakiotkea msiba siku ya idi ni kawaida huwa tunasitisha sherehe.
Basi kama hamtositisha sherehe tutaraji angalau kusikia matamko ya TEC yakilaani kinachoendelea Gaza kilichosababisha kusitishwa sherehe Bethelehem.
 
Hamas walianzishe afu mi nisitishe kufurahia sikukuuu pumbaaaaaav! Vita venyewe havinihusu acha nile zangu ubwabwa
 
Vita au mapigano kati ya Israel na Palestina hayajakaa kidini.
Yeah!...ila wahusika wa huo mzozo kwa miaka mingi waliuvisha sura ya kidini ili kupata uungwaji mkono kutoka kila pande za dunia
 
Baraza la mji wa Bethelehem mahali alipozaliwa Yesu a.s limepiga marufuku kabisa kusherehekea krismas kwa nia ya kuwaunga mkono wapalestina wanaouliwa na mayahudi kila leo.
Kuonesha nia safi katika hilo wamebomoa mapambo yote yenye dalili ya furaha katika mji huo.Zaidi wamebadili picha ya Yesu a.s na kumuonesha akiwa kichanga kilichozungukwa na maporomoko ya majengo huku akivalishwa skafu ya chama cha Fatah.
Muhimu ninachotaka kuuliza hapa hivi kuna umuhimu wowote wa wakiristo wengine duniani kusherehekea krismas ilhali pale alipozaliwa Mtume huyo kipenzi pakiwa pako kimya kabisa.

Tena kwa huku kwetu sheikh ndio usitegemee kabisa wasitishe, kuna watu wamefurahia mauwaji ya waislamu wenzetu huko gaza halafu unawashauri waache kusherehekea! Tena watakutukana kabisa

Chuki zimewajaa vifuani mwao.
 
Back
Top Bottom