Kwanini walifungia simu za Window?

Kwanini walifungia simu za Window?

kabisa kaka unajua hii window phone natumia jamiiforum na kuperuzi tu kwenye browser lakini naipenda kuliko maelezoView attachment 3119263
zilikuwa simu kali katika kifo chake ikafa na nokia pia. Nahisi labda huenda ingekaza ingetoboa.
Ila hakuna kifo ambacho kilikuwa cha kuchekesha kama blackberry. iPhone iliua vitu kibao kwa sababu ya dharau. Alieykuwa CEO wa microsoft wakati huo alipoona bei ya iPhone alicheka sana kwenye interview akisema hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kununua simu kwa bei ghali hivyo.
CEO wa rims yeye alisema sio tishio kwa blackberry maana haikai na charge na pia haina physical keyboard.
 
Moja ya simu nilimiliki nikaikubali sana, windows phone model nimesahau maana ni mda sasa.
 
zilikuwa simu kali katika kifo chake ikafa na nokia pia. Nahisi labda huenda ingekaza ingetoboa.
Ila hakuna kifo ambacho kilikuwa cha kuchekesha kama blackberry. iPhone iliua vitu kibao kwa sababu ya dharau. Alieykuwa CEO wa microsoft wakati huo alipoona bei ya iPhone alicheka sana kwenye interview akisema hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kununua simu kwa bei ghali hivyo.
CEO wa rims yeye alisema sio tishio kwa blackberry maana haikai na charge na pia haina physical keyboard.
sikufurahi kuhusu anguko la blackberry lakini ilibidi nicheke tu
 
With the diminishing interest and application development for the platform, Microsoft discontinued active development of Windows 10 Mobile in 2017, and the platform was declared end of life on January 14, 2020.
Sasa mzee DISCONTINUED ndio kufungiwa..
Hawa walizidiwa kete na android na apple.
Bila application za maana hakuna mtu atataka kutumia kifaa chako, sababu ni zaidi ya jeneza.
 
Hilo swali nimejiuliza sanaa...sijui kwanini Microsoft waliacha kuzitoa, ilikuwa simu safi sana
 
Sababu kubwa ni ushindani wa soko. Windows walichezea za uso. Windows Phone ilikabiliwa na ushindani mkubwa kutoka kwa Android na iOS. Haikuvutia watumiaji wengi kutokana na mfumo wake wa kipekee, ambao ulikuwa tofauti na ule uliotumiwa na watumiaji wengi wa simu.
 
Back
Top Bottom