Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Wakuu kuna anayejua chanzo kilicho pelekea wakoloni kuitwa mabeberu? Naomba mnipe maelezo ya kina maana binafsi sijaelewa mpaka sasa.
vi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu kutwa kucha yuko Ulaya kuomba misaada! Trump kutamka neno moja tu shitholes bila hata kutaja nchi dunia yote ya wajinga ikalipuka kwa hasira - death to America! Jamaa ni wavumilivu sana.Nadhani ni matusi tu ya Nyerere.