Kwanini Walimu wanatongoza Wanafunzi??!!


Unategemea wale wapi? Siku hizi kila mtu anakula kazini kwake! Mshahara wa Mwalimu mdogo sana, hawezi kwenda kutafuta wanawake wa 100,000/= kwa siku wakati anao wa chips mayai mawili karibu kabisa na yeye!

BTW: Watoto wa shule kufanya ngono siku hizi ni kawaida tu - Jana pale Kingstar niliwaona kama kumi hivi wakiwa wanapiga BEER na kupelekwa GUEST kimtindo - Na hao waliokuwa nao siyo walimu!
 


HIVI TANZANIA KUNA INTERNATIONAL SCHOOLS NGAPI....?
NI swali tu mwalimu mwenzangu....JUST TO BE FAIR...!
 
wakiwa na tamaa ndo nini sasa?
wanabaka walimu wao?

Wanawatega. We si binti? nina uhakika unajua jinsi gani mabinti (baadhi.....) wanavyojua kutega.

Baada ya kumaliza form six hapo zamani za kale niliamua kufundisha wanafunzi (form II & III). Weeee, ni roho ngumu tu ila ''mitego'' ilitaka kuniua!
 
Wanawatega. We si binti? nina uhakika unajua jinsi gani mabinti (baadhi.....) wanavyojua kutega.

Baada ya kumaliza form six hapo zamani za kale niliamua kufundisha wanafunzi (form II & III). Weeee, ni roho ngumu tu ila ''mitego'' ilitaka kuniua!

so kutegeka kule si kwa sababu ye dent we tcha ni swaga tu za kishetan km vile ambavyo mtoto anaweza kumtega bnt dng yake.
 
Halafu hizi International skulz ndo zinaongoza kwa MAADILI KUMOMONYAKA!!!!

HIVI TANZANIA KUNA INTERNATIONAL SCHOOLS NGAPI....?
NI swali tu mwalimu mwenzangu....JUST TO BE FAIR...!
 

sema kiongozi,
nayaamini sana macho yako,
huwa yanaona kwa kufanya upembuzi yakinifu!!!!!
 
ENG. smasher....ni vyema tukapata kwanza idadi ya hizo shule ndo tuanze kuziporomeshea lawama ama sifa.....!
 
Tamaa tu, na mmomonyoko wa maadili
 
Walimu na wanafunzi wote hawana maadili.
 

Mkuu hii ishu umeibana sana kwa waalimu, lakin ukiipanua itaenda mpaka kwa mabosi na masekretari, maprofesa vyuo vikuu na wasomi wetu, mababa wenye nyumba na mahausi gal, wafanyakazi wa kike wanapoomba kazi kwa waajiri wa kiume n.k.
 
nidhamu ya kazi imeshuka,nidhamu za watoto zimeshuka,nidhamu ya jamii nayo imeshuka kiujumla sababu kubwa ni mazingira na ukiangalia sehemu kubwa ni vijijini kwa sasa hv na viboko vimefutwa so mwanafunzi amekua jirani sana na mwalimu ndio maana lolote linatokea!!
 

Tatizo la vyeti bandia ni janga la kitaifa sio walimu pekee.
 
Nafikiri tuanze na mapdre, mapdre wengi siku hizi wanabanjua ila wanajidai

Kuna moja wa chama fulani kabanjua mke mtu.
 
Hivi hskunsgs waalimu wa kike wanaotongozaga wavulana?
 
Mwalimu kumtia mwanafunzi, NI KOSA! Vp mimba wanazopewa mtaani? Mabinti cku hz hawana bikra,nani anazitoa?! Ni walimu au?? Midingi wangap wanatembea na mabint wa shule...KUWALAUMU WALIMU NI UJINGA MTUPU, LETS THNK LOGICALLY, kati yenu, hamjawatia wanafunzi nyie...Loh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…