Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
CameroonHuyu golkipa wa ajax ni raia wa wapi?
Duuuh hii Kali aisee inamaana kuwa Africa tumejaa vilaza au unamaanisha nn?Wazungu Wanaamini Nafasi Ya Golikipa Ina Bidi Uwe Na Akili, Kitu Ambacho Waafrica Hawana
Kuna sababu nyingi za kwanini waafrica au watu weusi(ambapo wengi ni kutoka Africa) hawapo kwenye ligi zenye ushindani ulaya.
1. Inatokana na background ya mpira wetu Africa. Mipira ya africa ambayo vijana wanaanza kupiga soka la mitaani halina formula na vijana wanaingia wakiwa na motivation ya kucheza na kufunga magori. Watu wabovu au wasiojua ndo wanaachwa walinde gori au wacheze nyuma. Yaan anayefunga magori ndo anaonekana anajua
That z y tumefanikiwa kutengeneza mastrikers wakubwa kwenye soka waliotikisa na wanaotilisa mpaka sasa huko.
No necessity of mentioning them.
Kwa anayeshabikia mpira atakuwa anajua epl top scorers kwa msimu uliomalzika ni kina nani na wanatoka wapi?
2.sisi hatuna academies za kuandaa vijana na inajulikana ratio za hiyo nafasi ni ndogo ukilinganiesha na na wachezaji wengine 1/11. Halafu hakuna maandalizi yaan ni probability tu tena ndogo.
-Hata hivi nafasi ya goalkeeping naona kama siyo deal sana ko ina despised.
NB:
Mameneja weasi nao hatuna pia.
Hahah umezidisha chumvi mkuuWazungu Wanaamini Nafasi Ya Golikipa Ina Bidi Uwe Na Akili, Kitu Ambacho Waafrica Hawana
Mmoja wapo ni Steve Mandanda. Laikini huyo ana uraia wa UfaransaUfaransa wapo wengi sana yaani wamejaa
Eg Aishi ManulaDuuuh hii Kali aisee inamaana kuwa Africa tumejaa vilaza au unamaanisha nn?
Hauwez jua kazaliwa wapi mkuuUmeongea vyema, lakini jaribu kuandika kwa ufasa maana unaonekana msomi ila lafudhi inakurudisha nyuma
Lafudhi gn mkuu?Umeongea vyema, lakini jaribu kuandika kwa ufasa maana unaonekana msomi ila lafudhi inakurudisha nyuma