Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kwa muda mrefu Afrika imekuwa ikitoa viungo, washambuliaji na mabeki wazuri wanaotamba kwenye ligi mbalimbali barani ulaya. Toka enzi za akina George Weah, Samuel Etoo, Jayjay Okocha, Michael Essien, Yaya Toure nk.
Lakini habari ni tofauti kwa makipa, idadi ya magolikipa ni ndogo sana barani ulaya hasa katika ligi kubwa. Je magolikipa hao hawana uwezo mbele ya wazungu wanaotamba kama vile akina De Gea, Alisson Becker, Jan Oblak na wengineo.
Golikipa pekee mweusi kutoka barani Afrika anayetamba kwasasa katika ligi kubwa za ulaya ni Andre Onana wa Ajax.
Je, tatizo ni nini?
Lakini habari ni tofauti kwa makipa, idadi ya magolikipa ni ndogo sana barani ulaya hasa katika ligi kubwa. Je magolikipa hao hawana uwezo mbele ya wazungu wanaotamba kama vile akina De Gea, Alisson Becker, Jan Oblak na wengineo.
Golikipa pekee mweusi kutoka barani Afrika anayetamba kwasasa katika ligi kubwa za ulaya ni Andre Onana wa Ajax.
Je, tatizo ni nini?