HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,108
- 1,132
Habarini,
Kila mara najiuliza inakuwaje Waafrikanwaliokana majina yao ya asili na kubatizwa au kusilim wakiamini wamezaliwa upya katika dini mpya waendelee kutumia majina ya asili?
Hapa ndipo nawiwa kusema wafia dini wote ni WAJINGA na WAPUMBAVU wasiojua wanachokifanya kama vile kuruka mkojo na kukanyaga mavi kama kweli hao wazungu na warabu wangekuwa wanamaanisha kubatzwa na kisilim ni kuzaliwa upya sasa kwanini waendelee kukubali majina ya koo za kiafrika?
Waafrika mjikomboe kutoka ktk utumwa wa KIFIKRA!!
Kila mara najiuliza inakuwaje Waafrikanwaliokana majina yao ya asili na kubatizwa au kusilim wakiamini wamezaliwa upya katika dini mpya waendelee kutumia majina ya asili?
Hapa ndipo nawiwa kusema wafia dini wote ni WAJINGA na WAPUMBAVU wasiojua wanachokifanya kama vile kuruka mkojo na kukanyaga mavi kama kweli hao wazungu na warabu wangekuwa wanamaanisha kubatzwa na kisilim ni kuzaliwa upya sasa kwanini waendelee kukubali majina ya koo za kiafrika?
Waafrika mjikomboe kutoka ktk utumwa wa KIFIKRA!!