Kwanini waliopata alama ndogo ndio wanasomea ualimu?

Kwanini waliopata alama ndogo ndio wanasomea ualimu?

Status
Not open for further replies.
Tatizo jingine ni kwamba wanafunzi wengi wanapomaliza form four au form six hawajui kwamba kuna kozi nyngne tofauti ya ualimu na unesi pindi wanapokosa kuchaguliwa kuendelea na mfumo sahihi wa elimu yaani ule wa 7;4;2;3. Hivyo wanachojua ni kukimbilia ualimu au kwenye majeshi. Ila ukweli ni kwamba kila fani uanzia ngazi ya cheti na kuendelea na ukisoma hyo ngazi ya cheti lazm utakuwa umepata four.
 
taluma isiyo dandiwa kwa mbele ni uwalimu sema siasa za tz na hakuna anayefeli anaenda uwalimu kwa sasa

ukitaka chukua shahada lazima uwe na point 4.5

ukitaka certificate basi ni lazima uwe na division 3 au for ya mwanzoni.


ukitaka diploma principle zianzie mbili

kumbuka taluma ya uwalimu ndio taruma mtu hawezi unga unga yani ili mtu awe na diploma lazima afanye mtihani wa advance si atoke form 4 achukue cheti aunge diploma badae degree katika uwalimu ujinga huo hakuna

KUWA WALIMU WANA SHIDA NI ZAMANI SIYO SASA

kipindi cha nyuma kabla tasisi za kifedha hazijaanza kutoa mikopo na elimu ya ujasilia mali haijapata mashilo kwa watumishi walimu walikuwa na maisha magumu sana

HALI ILIVYO SASA

matatizo kila idara ya kazi yapo ila katika idara ya elimu hasa kwa walimu inasrmekana ndio kundi kubwa lla watumishi ambao tasisi za kifedha inawategemea kuwapa mikopo

ndio kundi kubwa ambalo linaonyesha kuanza jikwakuwa kuwa na maisha bora

kwani walimu wengi sasa wanamiji yao i mean wamejenga
wanasomesha watoto katika shule nzuri
wana miradi mingi sababu mikopo inawasaidia


my take

vijana wa sasa shuleni na vyuoni msidanganyike dunia ya sada hakuna kazi nzuri au mbaya dunia ua sasa inapaswa ujiongeze

KAULI ZA MWALIMU MASKINI ANA SHIDA NI SAWA NA ZILE KAULI TANZANIA MASKINI ZILIZOTUMIKA TANGIA UHURU MPAKA SASA OPEN UR EYES
 
Haya na mm nina ndoto za kuwa mwalimu nifanyeje nifikie malengo yangu nipo college mwaka wa 1 nachukua IT.
 
But baada ya kukimbilia ualimu kwanini wasireseat,unajua zaman waliokua wanasomea ualimu walikua wana alama za juu na ndio maana wana historia kubwa,saiv ukiwa na marks za kuungaunga ndio unakimbilia ualimu na kuna vyuo kibao nw vya degree za ualimu na unaingia kwa alama ndogo tu.unafkiri mtu ana 3 ya mwisho form six na amechukua shahada ya ualimu anaweza kumfundisha mtu akapata A advance?na hili ndio maana elimu yetu inadidimia coz cjawahi kumuona mtu ana (div 1 ya science) then akaamua kusomea ualimu
Bwana mdogo huna exposure kabisa Nina washkaji zangu tulimaliza Nao form 6 2005 walikuwa pcm wakapata one then wakaenda bsc education
 
Wadau hivi kwanini ya majority ya waliopata alama ndogo form four na form six wanakimbilia ualimu lakini wanaopata alama nzur kidogo tu hawawazi kuwa walimu wanafkiria vitu vyengine,?
N.b sio wote but ni wengi wao

Wanakwenda kuwajaza wengine ujinga.

Ingekuwa amri yangu, nisingeweka waliofeli kuwa ni waalimu.
 
Aliye feli huandikiwa Failed kinyume chake waliosalia wote huandikiwa Pass. Pia wote hatuwezi pata alama sawa.
Unanikumbusha miaka X iliyopita vijana walifundishwa na walimu walioitwa walimu wa UPE baada ya vijana hao kufaulu na kufanikiwa wakaja na sera ya kutimua walimu wote wa UPE. Kipindi hicho ufaulu haukuwa huu "mwalimu alikuwa darasa la saba elimu yake lakini kafaulisha vijana wengi mpaka vyuo vikuu" . Wakaanza kuletwa wenye elimu kuanzia kidato cha nne kama sehemu ya kuboresha elimu matokeo yake ndo haya ya sasa tuyaonayo. SASA MIMI NAONA WAKILETWA VIJANA WENYE UFAULU MKUBWA ZAIDI NDO WATOTO/VIJANA /WANAFUNZI WATAFELI ZAIDI. Bora twendelee hivihivi
 
Mimi nawajua hapa UDSM wapo kibao tena ndio wengi wenyw div 3 za science wanasomea ualimu,labda huko kwenu kwa arts maana hata div2 ni mbinde kusoma course ya kueleweka but UDSM au ukienda pale DUCE,Au MUCE basi 90% ya wanaosomea ualimu wa science basi ni div3
UDSM wapo watu walipata division II na wamesoma UDBS,
 
Aliye feli huandikiwa Failed kinyume chake waliosalia wote huandikiwa Pass. Pia wote hatuwezi pata alama sawa.
Unanikumbusha miaka X iliyopita vijana walifundishwa na walimu walioitwa walimu wa UPE baada ya vijana hao kufaulu na kufanikiwa wakaja na sera ya kutimua walimu wote wa UPE. Kipindi hicho ufaulu haukuwa huu "mwalimu alikuwa darasa la saba elimu yake lakini kafaulisha vijana wengi mpaka vyuo vikuu" . Wakaanza kuletwa wenye elimu kuanzia kidato cha nne kama sehemu ya kuboresha elimu matokeo yake ndo haya ya sasa tuyaonayo. SASA MIMI NAONA WAKILETWA VIJANA WENYE UFAULU MKUBWA ZAIDI NDO WATOTO/VIJANA /WANAFUNZI WATAFELI ZAIDI. Bora twendelee hivihivi
Walim hao walinifundisha shule ya Msingi Mkondoa wilaya ya Kilosa,kuanzia darasa la I mpaka la VII kuanzia mwaka 1989-1995,nawakumbuka na nawaheshim sana,wapo ambao mpaka sasa nnakutana nao na nawashukuru kwa mchango wao
 
Sio watu wote waliopata alama ndogo wanasomea ualimu vyuo vipo vingi hivyo ni fursa yko ww kuchagua kipi cha kusoma la msingi alama ulizo pata zilingane na koz unayoenda kusomea mfano UDSM cutting point nikuanzia tano kusomea ualimu hivyo mtu mwenye points zaidi ya tano hajafeli ila sijjui kwa matokeo ya BRN...
 
Na wewe tukuite popo?kazi yako kutetea chama cha magamba sasa si nenda kawaambie kuwa wasiweke waliofeli maana wanajaza ujinga wanafunzi au upo kwa ajili ya buku 7?(lumumba team):A S 109::A S 109::busu:busu:busu:ban:

Ewe punguani, naona uko nyuma sana kwenye dunia ya habari, Kikwete kishatangaza hilo zamani, jisomee:

Kikwete: Walimu wa shule za msingi kuwa na digrii
 
Mimi nawajua hapa UDSM wapo kibao tena ndio wengi wenyw div 3 za science wanasomea ualimu,labda huko kwenu kwa arts maana hata div2 ni mbinde kusoma course ya kueleweka but UDSM au ukienda pale DUCE,Au MUCE basi 90% ya wanaosomea ualimu wa science basi ni div3
Nina uhakika una division one au two ya darasani lakini una probability kubwa ya kufail mtihani wa maisha.
 
U know little kuhusu maisha ya Uraiani.Endelea kusoma ukimaliza chuo karibu kwenye maisha ya mtaani.Ndo hapo utauliza tena kuwa kwanini Bakhresa au Abood hakusoma sana lkn kwanini ni tajiri.
 
Nadhani tumeshindwa kuheshimiana kabisa....nmemaliza kidato cha sita na nimepa daraja la pili na npo UDOM nasoma education tena nasoma math na chemisty,hebu acha dharau hadi kufika hapo ulipo umefika kwa nguvu ya walimu hao ambao ww unadai wamefeli,hebu kuwa na adabu na taaluma za watu ebo......!!
 
tatizo ni kuwa ulipenda kusomea hiyo taaluma....au ulisomea kwa ajili ya kupata BOOM
 
tatizo ni kuwa ulipenda kusomea hiyo taaluma....au ulisomea kwa ajili ya kupata BOOM

Nilipenda na nilisomea kwa malengo,nihangaike miaka mi4 kusomea taaluma then mpumbavu mmoja aniajiri anilipe laki6 kwa mwezi mzima,thubutuu,
 
Wadau hivi kwanini ya majority ya waliopata alama ndogo form four na form six wanakimbilia ualimu lakini wanaopata alama nzur kidogo tu hawawazi kuwa walimu wanafkiria vitu vyengine,?
N.b sio wote but ni wengi wao

Mkuu.
Nafikili hujafatilia vizuri.
Wanaosomea ualimu wana maksi za juu kuliko taaluma nyingine.
Nikupe mfano;
Kabla ya big result mwal alipaswa awe na ufaulu wa 27.
Wakati cheti cha taaluma nyingine ilikuwa wanachukua hata alama 31. (yaani D tatu unachukuliwa).

Na sasa hivi tena diploma ya ualimu ni lazima upitie kidato cha sita.
Vinginevyo hutafundisha sekondari.
Kwa maana nyingine haina thamani.
 
mm kaka nilikuwa na dv. one ya 9 pcb nikaenda ualimu na tatizo kubwa ni uduni wa maisha niliogopa kuchagua fan nyingine kuogopa kukosa mkopo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom