Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hili swali nimekuwa najiuliza mara zote tangu sakata la uchaguzi wa TFF Limalizike, maana haiingii akilini kabisa kwamba alipokuwa anaomba umakamu wa Rais alikuwa raia safi , bali kwenye urais wenyewe ndio tunamtilia shaka !
Hii iko namna ,
Naomba mwenye majibu aniwekee hapa .
Hii iko namna ,
Naomba mwenye majibu aniwekee hapa .