Kwanini walokole hutaka kuvuna wasipopanda? Je, huu ni wizi wanaofundishwa makanisani?

Kwanini walokole hutaka kuvuna wasipopanda? Je, huu ni wizi wanaofundishwa makanisani?

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Naandika hili kwa masikitiko Sana kwamba ujambazi au wizi unafundishwa makanisa haya ya kilokole.

Mfano ukienda makanisa haya utaambiwa kesho utakuwa tajiri au utaokota fuko la hela wakati inajulikana ili upate hela lazima ufanye kazi za jasho. Hawa wanapelekea kuwa ikitokea ukapoteza waleti yako akaokota mlokole hatakama upo karibu hakurudishii kwa kudhani mungu amempa hela kupitia wewe kudondosha wakati angekua muislamu atakukimbila na kukurudishia.

Mara nyingine utakuta mtu anaenda kanisani eti anataka apate kazi wakati anajua kabisa yeye ni kilaza lakini anafunfishwa kuroga waajiri kwa njia ya maombi. Jamani huu si ni uchawi kabisa.

Ndiyo Mana ulaya ulokole haupo Mana ni uongo na kuwaibia watu tu. Ulaya Kuna ukatoliki na less uanglika na KKKT tu.
 
Ha ha haaa. Eti Ulaya kuna KKKT ( Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania). Bora ungesema Ulaya kuna ELC -Evangelical Lutheran Church of........... (Europe)
 
Ulaya wengi ni wapagani they don't belong to any religion but they are believing in Almighty

Africa ndio tunakomaa na dini na ndio mana umaskini na ufukara umetutawala
 
Nakumbuka enzi za Egon akizunguka roli lake lenye PA System Afrika mashariki akipiga gospel aseee, ...

"... tubuni kwa maana saa ya hukumu imekaribia"

"... acheni dhambi, njoo kwa Yesu..."

Yaani baada ya kina Egon sasa wanakula bata wana mavyuo yao eti wanafundisha mambo ya dini, hawa hawa wachungaji fake wa kutosha ili kujikwamua kutoka eneo la kuonekana hawajasoma theolojia wanajazana kwenye hivyo vyuo ili kupata Diploma, Phd au hata Bible Knowledge.

Wakitoka huko wanaendeleza fujo kuteka akili za wasio jua elimu ya dini kwa kuwapumbaza na kuwachota raia akili.

👉🏾Daaa, naendelea kujifunza tabia ya binadamu!.
 
Umeandika kishabiki Sana we mkatoliki ila heshimu na madhehebu mengine,suala la utapeli ktk haya madhehebu yapo lakini Hilo halitawazuia watu kujua ukweli na utapeli
 
Umeandika kishabiki Sana we mkatoliki ila heshimu na madhehebu mengine,suala la utapeli ktk haya madhehebu yapo lakini Hilo halitawazuia watu kujua ukweli na utapeli
I wish you could give us more
 
Naandika hili kwa masikitiko Sana kwamba ujambazi au wizi unafundishwa makanisa haya ya kilokole.

Mfano ukienda makanisa haya utaambiwa kesho utakuwa tajiri au utaokota fuko la hela wakati inajulikana ili update hela lazima ufanye kazi za jasho...
muislam gan anarudisha hela chief.
 
Back
Top Bottom