mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 901
- 1,742
Nani kachukua soko lao? Si limeungua? Kwanini hawataki uchunguzi ufanyike wajue chanzo au wanakijua tayari ndo maana wanataka waruhusiwe waendelee na mishe zao?
By the way uchunguzi utachukua siku 14, zitaongezwa 7 kisha wataambiwa wanatafutiwa eneo lingine pale panawekwa kitu kingine ama stand ya vyombo vya moto ama kitu chochote mradi machinga wasirudi pale.