Kwanini Wamasai wa Kenya wanakerwa na jambo la Ngorongoro kuliko sisi?

Kwanini Wamasai wa Kenya wanakerwa na jambo la Ngorongoro kuliko sisi?

James Martin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2016
Posts
1,206
Reaction score
1,509
Habari za Jumapili popote mlipo.

Nafikiri wengi mnajua kuhusu mpango wa serikali wa kuwatafutia ndugu zetu Wamasai makazi mapya ili kuilinda hifadhi ya Ngorongoro. Hili jambo lilileta mjadala mkubwa sana miongoni mwa jamii yetu ya Watanzania.

Wapo waliopinga kuhusu mpango wa serikali na pia wapo waliounga mkono npango huo. Lakini inachonishangaza ni kuwona Wakenya wakipinga kwa uchungu mipango ya serikali yetu. Kana kwamba wao wana ubia na ardhi yetu

Huyu mama wa Kikenya kwenye hii video hapo chini mpaka anafikia kusema Rais Samia anajali wanyama kuliko binadamu. Kitu ninachojiuliza, hivi ni kweli hawa Wakenya wanawajali wakazi wa Ngorongoro au wana jambo lao jengine?

 
Wamasai wakenya na wanaharakati koko wa kitanzania ni wapumbavu sana. Wanajitahidi kupambania ardhi yetu ili ije kuwa ya kwao kwa ajili yao na vizazi vyao. Wanataka kuitumia ardhi yetu kulimia na kulishia mifugo yao maana kule kwao maeneo mengi ni ukame mtupu.

Mbona wao serikali yao ilipowahamisha wamasai kutoka katika hifadhi ya taifa, hao wanaharakati koko hawakujaribu kuizuia serikali yao ifanye kile ilichotaka kufanya? Inashangaza kuona baadhi ya vijana wa kitanzania ambao huonekana ni wajanja kwa baadhi ya nchi, leo hii wanageuzwa mazuzu humu mitandaoni na wamasai wa Kenya, tena wamasai wenyewe wengine hawakwenda shule na wengi wao hata kuoga hawajui.

Hii inaonesha kuwa kama vita ya Uganda ingetokea katika miaka hii ya kizazi cha leo kilichojazwa ujinga kupitia siasa uchwara, wallah kuna wanaharakati koko wengine ambao wangekuwa tayari kuwa upande wa Iddi Amin ili kuikomoa serikali.
 
Wamaasai wa Tanzania wakihamishwa huko Handeni Wamaasai wa Kenya watabaki wapweke.
 
Wamasai wakenya na wanaharakati koko wa kitanzania ni wapumbavu sana. Wanajitahidi kupambania ardhi yetu ili ije kuwa ya kwao kwa ajili yao na vizazi vyao. Wanataka kuitumia ardhi yetu kulimia na kulishia mifugo yao maana kule kwao maeneo mengi ni ukame mtupu.

Mbona wao serikali yao ilipowahamisha wamasai kutoka katika hifadhi ya taifa, hao wanaharakati koko hawakujaribu kuizuia serikali yao ifanye kile ilichotaka kufanya? Inashangaza kuona baadhi ya vijana wa kitanzania ambao huonekana ni wajanja kwa baadhi ya nchi, leo hii wanageuzwa mazuzu humu mitandaoni na wamasai wa Kenya, tena wamasai wenyewe wengine hawakenda shule na wengi wao hata kuoga hawajui.

Hii inaonesha kuwa kama vita ya Uganda ingetokea katika miaka hii ya kizazi cha leo kilichojazwa ujinga kupitia siasa uchwara, wallah kuna wanaharakati koko wengine ambao wangekuwa tayari kuwa upande wa Iddi Amin ili kuikomoa serikali.
"Mwenzako akinyolewa wewe tia maji"
Kuna siku hili zoezi litabisha mlangoni mwako na kwa ndugu zako
Uwe makini unapokoment kwenye suala lisilokuhusu
Msiba wa jirani uusikie tu, ukifika kwako ni majanga
 
"Mwenzako akinyolewa wewe tia maji"
Kuna siku hili zoezi litabisha mlangoni mwako na kwa ndugu zako
Uwe makini unapokoment kwenye suala lisilokuhusu
Msiba wa jirani uusikie tu, ukifika kwako ni majanga
Huo msemo hauna maana yoyote kwa swala la Ngorongoro. Hii ni vita ya kiuchumi kati ya Tanzania ambayo mimi ni mmoja wapo, na Kenya ambayo wewe ni mmoja wapo. Wamasai wa Kenya mmekuwa mkitumia ardhi yetu kupitia mgongo wa wamasai wa Tanzania. Mmejipenyeza, mkapewa hifadhi na baadhi ya wamasai wa Tanzania wasiokuwa wazalendo wa taifa lao. Na baadhi yenu wakatafutiwa vibali vya uraia wa mchongo wa Tanzania kupitia maafisa wanaoendekeza rushwa huko uhamiaji. Sasa serikali imeshtuka na kuamua kuwaweka raia wake (wamasai wa Tanzania) mbali na mpaka wa nchi kwa sababu kuu mbili. 1) kuwaweka mbali na maeneo ya hifadhi ya taifa kwa ajili ya masilahi ya kiuchumi kwa taifa letu. 2) kuwaweka mbali na mpakani ili kuzuia ule muingiliano wa wamasai wa Tanzania na Kenya ambao ulitengeneza kichaka cha kuhalalisha wakenya wengi kuingiza mifugo yao katika ardhi yetu, kulima katika ardhi yetu na wengine kufanya ujangili katika ardhi yetu. Ingekuwa sisi Tanzania ndio tunafanya hivyo kwa upande wa Kenya basi humu mitandaoni pangekuwa hapatoshi kwa matusi, kejeli na dhihaka. Serikali yetu imewapa raia wake wenye asili ya kimasai ofa ambayo hakuna jamii nyingine yoyote hapa Tanzania iliwahi kupewa na serikali. Ofa hiyo ya kujengewa nyumba nzuri, shule nzuri, hospital nzuri, barabara nzuri, miundo mbinu ya maji, umeme na mazingira mazuri, pia kila mmasai na familia yake wamepewa kipande kikubwa cha ardhi kwa ajili ya ufugaji na kilimo. Wakati wamasai wakiwa wamependelewa ofa zote hapo juu, kuna watanzania wengine wakati wa utawala wa Nyerere waliwahi kuhamishwa kutoka katika maeneo yao ya asili, na kupelekwa katika mikoa mingine bila kujengewa hata nyuma ya miti. Pia kuna watu ambao walivunjiwa nyumba zao huko Kimara ili kupisha upanuzi wa barabara bila kupewa chochote, kuna watu wengine pia waliwahi kuhamishwa kutoka ubungo ili kupisha miradi ya serikali wakapelekwa pemben kbs na mji kwa kupewa tu viwanja vya miguu 20 kwa 20 bila kujengewa. Sasa inashangaza eti mmasai aliependelewa na serikali yetu kupitia kodi zetu akatae kuhama kwa sababu zisizokuwa na maana. Ukweli ni kwamba hakuna mmasai wa Tanzania anaekataa kwenda kuishi katika mazingira mazuri waliyoandaliwa na serikali, hao wanaokataa ni wale wamasai wa mchongo waliotokea Kenya na kuingia Tanzania kusaka uraia wa mchongo ili kuwarahisishia wao kufanya mambo yao kinyume na sheria kama vile kulisha mifugo yao katika ardhi yetu, kulima nk kupitia mgongo wa uraia huo wa mchongo. Wamasai hao wa Kenya wanahofia kwenda kuishi mbali na mpaka wa nchi yao kwa sababu itakuwa rahisi kule kuwagundua lkn pia ile style yao ya kuigeuza nchi yetu shamba la bibi itakuwa imekufa kibudu. Dunia imebadilika ndugu zetu wa Kenya, hakuna namna ya kutulaghai tena kama zamani, rudieni nchini kwenu mkapambane na serikali yenu ili wabadilishe sheria ya ardhi kwa kila mkenya kumiliki ardhi kama ilivyo kwa Tanzania.
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    56.1 KB · Views: 5
  • images (14).jpeg
    images (14).jpeg
    37.2 KB · Views: 5
  • images (34).jpeg
    images (34).jpeg
    33.1 KB · Views: 5
Huo msemo hauna maana yoyote kwa swala la Ngorongoro. Hii ni vita ya kiuchumi kati ya Tanzania ambayo mimi ni mmoja wapo, na Kenya ambayo wewe ni mmoja wapo. Wamasai wa Kenya mmekuwa mkitumia ardhi yetu kupitia mgongo wa wamasai wa Tanzania. Mmejipenyeza, mkapewa hifadhi na baadhi ya wamasai wa Tanzania wasiokuwa wazalendo wa taifa lao. Na baadhi yenu wakatafutiwa vibali vya uraia wa mchongo wa Tanzania kupitia maafisa wanaoendekeza rushwa huko uhamiaji. Sasa serikali imeshtuka na kuamua kuwaweka raia wake (wamasai wa Tanzania) mbali na mpaka wa nchi kwa sababu kuu mbili. 1) kuwaweka mbali na maeneo ya hifadhi ya taifa kwa ajili ya masilahi ya kiuchumi kwa taifa letu. 2) kuwaweka mbali na mpakani ili kuzuia ule muingiliano wa wamasai wa Tanzania na Kenya ambao ulitengeneza kichaka cha kuhalalisha wakenya wengi kuingiza mifugo yao katika ardhi yetu, kulima katika ardhi yetu na wengine kufanya ujangili katika ardhi yetu. Ingekuwa sisi Tanzania ndio tunafanya hivyo kwa upande wa Kenya basi humu mitandaoni pangekuwa hapatoshi kwa matusi, kejeli na dhihaka. Serikali yetu imewapa raia wake wenye asili ya kimasai ofa ambayo hakuna jamii nyingine yoyote hapa Tanzania iliwahi kupewa na serikali. Ofa hiyo ya kujengewa nyumba nzuri, shule nzuri, hospital nzuri, barabara nzuri, miundo mbinu ya maji, umeme na mazingira mazuri, pia kila mmasai na familia yake wamepewa kipande kikubwa cha ardhi kwa ajili ya ufugaji na kilimo. Wakati wamasai wakiwa wamependelewa ofa zote hapo juu, kuna watanzania wengine wakati wa utawala wa Nyerere waliwahi kuhamishwa kutoka katika maeneo yao ya asili, na kupelekwa katika mikoa mingine bila kujengewa hata nyuma ya miti. Pia kuna watu ambao walivunjiwa nyumba zao huko Kimara ili kupisha upanuzi wa barabara bila kupewa chochote, kuna watu wengine pia waliwahi kuhamishwa kutoka ubungo ili kupisha miradi ya serikali wakapelekwa pemben kbs na mji kwa kupewa tu viwanja vya miguu 20 kwa 20 bila kujengewa. Sasa inashangaza eti mmasai aliependelewa na serikali yetu kupitia kodi zetu akatae kuhama kwa sababu zisizokuwa na maana. Ukweli ni kwamba hakuna mmasai wa Tanzania anaekataa kwenda kuishi katika mazingira mazuri waliyoandaliwa na serikali, hao wanaokataa ni wale wamasai wa mchongo waliotokea Kenya na kuingia Tanzania kusaka uraia wa mchongo ili kuwarahisishia wao kufanya mambo yao kinyume na sheria kama vile kulisha mifugo yao katika ardhi yetu, kulima nk kupitia mgongo wa uraia huo wa mchongo. Wamasai hao wa Kenya wanahofia kwenda kuishi mbali na mpaka wa nchi yao kwa sababu itakuwa rahisi kule kuwagundua lkn pia ile style yao ya kuigeuza nchi yetu shamba la bibi itakuwa imekufa kibudu. Dunia imebadilika ndugu zetu wa Kenya, hakuna namna ya kutulaghai tena kama zamani, rudieni nchini kwenu mkapambane na serikali yenu ili wabadilishe sheria ya ardhi kwa kila mkenya kumiliki ardhi kama ilivyo kwa Tanzania.
Kama hakuelewa ulichoandika basi ujue jamaa ni mkenya.
 
Huo msemo hauna maana yoyote kwa swala la Ngorongoro. Hii ni vita ya kiuchumi kati ya Tanzania ambayo mimi ni mmoja wapo, na Kenya ambayo wewe ni mmoja wapo. Wamasai wa Kenya mmekuwa mkitumia ardhi yetu kupitia mgongo wa wamasai wa Tanzania. Mmejipenyeza, mkapewa hifadhi na baadhi ya wamasai wa Tanzania wasiokuwa wazalendo wa taifa lao. Na baadhi yenu wakatafutiwa vibali vya uraia wa mchongo wa Tanzania kupitia maafisa wanaoendekeza rushwa huko uhamiaji. Sasa serikali imeshtuka na kuamua kuwaweka raia wake (wamasai wa Tanzania) mbali na mpaka wa nchi kwa sababu kuu mbili. 1) kuwaweka mbali na maeneo ya hifadhi ya taifa kwa ajili ya masilahi ya kiuchumi kwa taifa letu. 2) kuwaweka mbali na mpakani ili kuzuia ule muingiliano wa wamasai wa Tanzania na Kenya ambao ulitengeneza kichaka cha kuhalalisha wakenya wengi kuingiza mifugo yao katika ardhi yetu, kulima katika ardhi yetu na wengine kufanya ujangili katika ardhi yetu. Ingekuwa sisi Tanzania ndio tunafanya hivyo kwa upande wa Kenya basi humu mitandaoni pangekuwa hapatoshi kwa matusi, kejeli na dhihaka. Serikali yetu imewapa raia wake wenye asili ya kimasai ofa ambayo hakuna jamii nyingine yoyote hapa Tanzania iliwahi kupewa na serikali. Ofa hiyo ya kujengewa nyumba nzuri, shule nzuri, hospital nzuri, barabara nzuri, miundo mbinu ya maji, umeme na mazingira mazuri, pia kila mmasai na familia yake wamepewa kipande kikubwa cha ardhi kwa ajili ya ufugaji na kilimo. Wakati wamasai wakiwa wamependelewa ofa zote hapo juu, kuna watanzania wengine wakati wa utawala wa Nyerere waliwahi kuhamishwa kutoka katika maeneo yao ya asili, na kupelekwa katika mikoa mingine bila kujengewa hata nyuma ya miti. Pia kuna watu ambao walivunjiwa nyumba zao huko Kimara ili kupisha upanuzi wa barabara bila kupewa chochote, kuna watu wengine pia waliwahi kuhamishwa kutoka ubungo ili kupisha miradi ya serikali wakapelekwa pemben kbs na mji kwa kupewa tu viwanja vya miguu 20 kwa 20 bila kujengewa. Sasa inashangaza eti mmasai aliependelewa na serikali yetu kupitia kodi zetu akatae kuhama kwa sababu zisizokuwa na maana. Ukweli ni kwamba hakuna mmasai wa Tanzania anaekataa kwenda kuishi katika mazingira mazuri waliyoandaliwa na serikali, hao wanaokataa ni wale wamasai wa mchongo waliotokea Kenya na kuingia Tanzania kusaka uraia wa mchongo ili kuwarahisishia wao kufanya mambo yao kinyume na sheria kama vile kulisha mifugo yao katika ardhi yetu, kulima nk kupitia mgongo wa uraia huo wa mchongo. Wamasai hao wa Kenya wanahofia kwenda kuishi mbali na mpaka wa nchi yao kwa sababu itakuwa rahisi kule kuwagundua lkn pia ile style yao ya kuigeuza nchi yetu shamba la bibi itakuwa imekufa kibudu. Dunia imebadilika ndugu zetu wa Kenya, hakuna namna ya kutulaghai tena kama zamani, rudieni nchini kwenu mkapambane na serikali yenu ili wabadilishe sheria ya ardhi kwa kila mkenya kumiliki ardhi kama ilivyo kwa Tanzania.
Infact hili suala mimi niko neatral na ningependa niendelee kuwa neautral kwa sababu kuu mbili
  1. Ni ukweli usiopingika kuwa hifadhi ya Ngorongoro na maeneo ya jirani ikiwa ni pamoja na ecosystem yake iko hatarini kupotea kwa sababu makazi ya watu kwenye mbuga daima sio friendly na maisha ya viumbe wengine na mazingira kwa ujumla wake. Wamsai wamehusishwa na scandle nyingi za kuhatarisha uhai wa ecolojia na utalii tulikumbuka uharamia wa wasomali waliokuwa wakifichwa na baadhi ya familia za kimasai nk.
  2. Watawala wa kisiasa kwa upande wao nao sio wa kuwaamini asilimia 100, kwa mwamvuli wa kuhifadhi ikolojia ya Ngorongoro unaweza kuta ni mechi tofauti inachezwa nyuma ya pazia, ambapo kikwazo kikubwa ilikuwa ni makazi ya ghao ndugu zetu Wamasai. Migogoro ya nyuma ni ushahidi tosha kuwa wanasiasa sio watu wa kuwaamini kabisa. Inaweza ukakuta kuna mwarabu mwingine katoa mabilioni ikaend amifukoni mwa wanasiasa na sasa kikwazo ni hao wakaaji au ukakuta kuna fogo mmoja au wawili a watatu wametoa mkono mrefu kwa wanasiasa na sasa anataka kuwekeza kwenye maeneo hayo na wanaozuia ni hao wakaaji. Na mbaya zaidi ukakuta miradi hizo zinaaribu hifadhi kuliko hata wamasai wangefanya. Hawa hawa wanasiasa wetu wakishamaliza ya Loliondo na Ngorongoro watahamia na kwa Wamasai wa Engaruka, Mtowa Mbu au kwa wameru wa Kingori au kwenye hifadhi zingine kote Tanzania.
So point yangu sio vyema kushabikia zoezi kama hili na kutamba kuwa ndio tumesolve Equation, utashangaa muda mfupi ujao ngoma ikageuka na ninyi ninyi mkaanza kulalamika tena, tumepigwa, tumepigwa na Equation tuliodhani tumesolve ndio sasa imegeuka kuwa complex zaidi na ngumu kusolve
 
Kwa sababu wana akili timamu. Akili zao hazijakaa kichawa kama huku kwetu.
 
Wakule wanajitambua kuliko hAwa wa kwetu
Wakenya wana benefit katika hifadhi yetu, JE WAJUA KENYA HAKUNA FREE LAND KWA MIFUGO YA MTU?, HILI LILIKUWA TU HAPA TANZANIA, Kenya sio lelema ukajitembezee tu mangombe yako free utachajiwa pesa hili la bure lipo Tanzania tu
 
Sheria ya umilikaji wa ardhi Tanzania na Kenya ni tofauti

Tanzania tuna umiliki wa wa mkataba wa muda na unapewa right kwa kipindi fulani na ardhi inaendelea kubaki mali ya umma siku zote na hii inaendanda na sera za ujamaa

Kenya wao wana ubepari na umiliki wa ardhi ni FREE HOLD maana yake bepari akishainunua ni yake na akifa uzao wake unaendelea kumiliki kwa kurithi

Kwa muktadha huo, asilimia kubwa ya ardhi ya kenya inamilikiwa na mabepari wengi ambao asilimia kubwa babu zao walikuwa ni wanasiasa na wali grab ardhi na ndio watoto/ wajukuu wanaendeleza kuwa wanasiasa wakati huo huo ni mabepari na wamiliki wa ardhi

Tanzania sisi tuna maeneo makubwa ya wazi kutokana na sheria zetu za ardhi na mfumo wa kijamaa, hii imefanya walalahoi wengi wasio na ardhi kutoka nchi zinazotuzunguka kutamani ardhi hizo ama kuwa ufugaji, kilimo ama makazi

Sambamba na hilo matajiri wengi wanasiasa wa nchi hizo wanawatumia masikini kuwekeza ngombe kwao, na hao walalahoi wanavuka mipaka kuja kulisha kwenye ardhi ya maziwa na asali

Hivyo ukisikia kelele zinatoka NAROK ujue mabapari wa huko wanajiuliza ngombe zao walizokuwa wameziwekeza kwetu watazipeleka wapi na huku ardhi hawana?

Kwa hapa niishukuru serikali kwanza kwa kutenganisha watu wetu na kuwaamisha na ikiwezekana loliondo yote wananchi wapatiwe ardhi mbali na eneo hilo ili pabaki eneo la hifadhi halafu tuweze kulipa vizuri mipaka yetu kwa kuwa sisi ni free, na sovereign hivyo sheria za kimataifa zinaturuhusu kulinda mipaka yetu.

Kuna watu wanadhani kuwa kubadilika kwa uongozi Tanzania kutaifanya nchi yetu kuingilika kirahisi. Hapana.... Tanzania ni mfumo ulio ndani ya mioyo ya kila Mtanzania uliojaa uzalendo wa asili. Tanzania ni ile ile jana leo na milele. Ukija kwetu fuata sheria, tukija kwako tutafuata sheria
 
Habari za Jumapili popote mlipo.

Nafikiri wengi mnajua kuhusu mpango wa serikali wa kuwatafutia ndugu zetu Wamasai makazi mapya ili kuilinda hifadhi ya Ngorongoro. Hili jambo lilileta mjadala mkubwa sana miongoni mwa jamii yetu ya Watanzania.

Wapo waliopinga kuhusu mpango wa serikali na pia wapo waliounga mkono npango huo. Lakini inachonishangaza ni kuwona Wakenya wakipinga kwa uchungu mipango ya serikali yetu. Kana kwamba wao wana ubia na ardhi yetu

Huyu mama wa Kikenya kwenye hii video hapo chini mpaka anafikia kusema Rais Samia anajali wanyama kuliko binadamu. Kitu ninachojiuliza, hivi ni kweli hawa Wakenya wanawajali wakazi wa Ngorongoro au wana jambo lao jengine?

Wameshikwa pabaya hao wamasai wa Kenya na wanasiasa wao.
Walikuwa wanatumia eneo la Tanzania kama ya kwao na inaelekea kuna mamluki walioajiriwa Tanzania lakini ni wakenya.
Tutakula nao sahani moja.
 
Wakenya wana benefit katika hifadhi yetu, JE WAJUA KENYA HAKUNA FREE LAND KWA MIFUGO YA MTU?, HILI LILIKUWA TU HAPA TANZANIA, Kenya sio lelema ukajitembezee tu mangombe yako free utachajiwa pesa hili la bure lipo Tanzania tu
Hili swala linawaexpose wajinga wengi. Wapenda maneno matupu tu yasiyovunja mfupa. Na ndio mnapenda sana serikali kutumia nguvu kwa sababu negotiation hamuwezi.
 
Habari za Jumapili popote mlipo.

Nafikiri wengi mnajua kuhusu mpango wa serikali wa kuwatafutia ndugu zetu Wamasai makazi mapya ili kuilinda hifadhi ya Ngorongoro. Hili jambo lilileta mjadala mkubwa sana miongoni mwa jamii yetu ya Watanzania.

Wapo waliopinga kuhusu mpango wa serikali na pia wapo waliounga mkono npango huo. Lakini inachonishangaza ni kuwona Wakenya wakipinga kwa uchungu mipango ya serikali yetu. Kana kwamba wao wana ubia na ardhi yetu

Huyu mama wa Kikenya kwenye hii video hapo chini mpaka anafikia kusema Rais Samia anajali wanyama kuliko binadamu. Kitu ninachojiuliza, hivi ni kweli hawa Wakenya wanawajali wakazi wa Ngorongoro au wana jambo lao jengine?


Watanzania hawana uhuru wa kupinga jambo linalotakiwa na serikali. Ndio maana unaona hakuna ruhusa hata ya waandishi wa habari kuripoti ukweli wa kinachoendelea huko ngorongoro.
 
Wamaasai wa Tanzania wakihamishwa huko Handeni Wamaasai wa Kenya watabaki wapweke.

..Wakati TANGANYIKA inakaribia kupata uhuru Wazee wa Kimaasai wa kutoka Kenya walikuja kumuona Mwalimu Nyerere kumshawishi ili ili eneo lao liwe sehemu ya Tanganyika. Mwalimu Nyerere aliwakatalia.

..Mpaka wa Tanzania na Kenya umeigawa jamii ya Wamaasai na kuingilia mfumo wa maisha wa asili.

..Katika hili sijui nimlaumu Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, au niwalaumu wakoloni walioweka mipaka inayotuletea matatizo.

..Au nilaumu serikali za CCM kwa kutolipatia ufumbuzi tatizo la wafugaji wa Kimaasai ktk mbuga za wanyama. Serikali ingekuwa na mpango endelevu wa ku-manage hilo eneo isingelazimika kutumia mabavu leo hii.

Cc Pascal Mayalla , James Martin, Phillipo Bukililo
 
..Wakati TANGANYIKA inakaribia kupata uhuru Wazee wa Kimaasai wa kutoka Kenya walikuja kumuona Mwalimu Nyerere kumshawishi ili ili eneo lao liwe sehemu ya Tanganyika. Mwalimu Nyerere aliwakatalia.

..Mpaka wa Tanzania na Kenya umeigawa jamii ya Wamaasai na kuingilia mfumo wa maisha wa asili.

..Katika hili sijui nimlaumu Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, au niwalaumu wakoloni walioweka mipaka inayotuletea matatizo.

..Au nilaumu serikali za CCM kwa kutolipatia ufumbuzi tatizo la wafugaji wa Kimaasai ktk mbuga za wanyama. Serikali ingekuwa na mpango endelevu wa ku-manage hilo eneo isingelazimika kutumia mabavu leo hii.

Cc Pascal Mayalla , James Martin, Phillipo Bukililo
Kuna suala zima la ongezeko la watu, pia kuna suala la vita ya kiuchumi kati yetu na majirani wa kaskazini. Mara nyingi kama umechunguza serikali ya awamu ya sita inajitahidi sana kutokurupuka katika kujibu hoja mbalimbali.

Inakwepa kufanya uonevu wa dhahiri kabisa.
 
Wakule wanajitambua kuliko hAwa wa kwetu

Kwahiyo ni sahihi wamasai wa kenya kukalia ardhi ya Tanzania, ila akitokea mwekezaji akapewa sehemu hiyo mnapinga kwa nguvu zote,,, huyo mmasai wa kenya anaekalia ardhi yetu anafaida gani kwa taifa letu?? Nini amewekeza pale?? Mlivyosikia mwarabu tuu kelele nyingii ila mmasai kukalia hiyo ardhi ni sawa!!!
Kwa sababu wana akili timamu. Akili zao hazijakaa kichawa kama huku kwetu.

Kwahiyo unaamini hao masai ni watanzania?? Je, kama ni wakenya!!! Hizi bendera fuata upepo hizi zitawagharimu sana. Muwe mnachunguza kwanza,,,mama samia sio mpumbavu wa kukurupuka, anaona mbele.
 
..Wakati TANGANYIKA inakaribia kupata uhuru Wazee wa Kimaasai wa kutoka Kenya walikuja kumuona Mwalimu Nyerere kumshawishi ili ili eneo lao liwe sehemu ya Tanganyika. Mwalimu Nyerere aliwakatalia.

..Mpaka wa Tanzania na Kenya umeigawa jamii ya Wamaasai na kuingilia mfumo wa maisha wa asili.

..Katika hili sijui nimlaumu Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, au niwalaumu wakoloni walioweka mipaka inayotuletea matatizo.

..Au nilaumu serikali za CCM kwa kutolipatia ufumbuzi tatizo la wafugaji wa Kimaasai ktk mbuga za wanyama. Serikali ingekuwa na mpango endelevu wa ku-manage hilo eneo isingelazimika kutumia mabavu leo hii.

Cc Pascal Mayalla , James Martin, Phillipo Bukililo

Hivi masai asili yake ni wapi? Kenya, Uganda or Tanzania?
 
Back
Top Bottom