Duh!!!Nilisikia mahali kwamba hua wanazichoma moto zinapukutika afu kidevu kinakua scalped kwa kuunguzwa kwahyo ndevu hazioti tena. Yani kidevu kinakakamaa kama tu watu wenye upaa
kwa hiyo vibumbu vinakuwa kama vya watoto?Kuna dawa huwa wanakunywa inaitwa "ORUKUANYIRI"hii mzee baba ni noma yaani inapukutisha ndevu kama haina akili......na siyo ndevu tu mpaka MA*****ZI inapukutisha.......[emoji16][emoji16][emoji16]
MA**ZI[emoji736]Kuna dawa huwa wanakunywa inaitwa "ORUKUANYIRI"hii mzee baba ni noma yaani inapukutisha ndevu kama haina akili......na siyo ndevu tu mpaka MA*****ZI inapukutisha.......[emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna dawa huwa wanakunywa inaitwa "ORUKUANYIRI"hii mzee baba ni noma yaani inapukutisha ndevu kama haina akili......na siyo ndevu tu mpaka MA*****ZI inapukutisha.......[emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu naomba contact za huyo mtu utaniwekea kwenye bus la TAQWA Harare. Maana ndevu ishakuwa kero nisiponyoa baada ya siku tatu sipati usingiziKuna dawa huwa wanakunywa inaitwa "ORUKUANYIRI"hii mzee baba ni noma yaani inapukutisha ndevu kama haina akili......na siyo ndevu tu mpaka MA*****ZI inapukutisha.......[emoji16][emoji16][emoji16]
We mmasai?Huwa tunapaka dawa utotoni. Hivyo znazuia ndevu kuota
TunayoBila kupoteza muda naomba kujua kwanini wamasai hawana muonekano wa ndevu au kwanini ni nadra kumuona mmasai akiwa na ndevu ?
Nitashukuru nikipata majibu