Tetesi: Kwanini wamasai wanaonekana hawana ndevu

Tetesi: Kwanini wamasai wanaonekana hawana ndevu

Mchango wangu unatoka nje kidogo ya mada,siku moja tunangojea usafiri majira ya 1 asubuhi pembeni kuna jamaa anauza matikiti maji ile kula kipande nikahisi tumbo limepigwa ganzi ikabidi nihairishe ila kuna masai alimaliza tikiti zima,hawa jamaa hatari sana.
 
Kuna dawa huwa wanakunywa inaitwa "ORUKUANYIRI"hii mzee baba ni noma yaani inapukutisha ndevu kama haina akili......na siyo ndevu tu mpaka MA*****ZI inapukutisha.......[emoji16][emoji16][emoji16]

Mbona mimi ninalo vuzi? Inaondoa ndevu tu.
 
Ngoja nianze kuwaangalia, mana mada yako km kweli vile.

Hivi lowasaa hana ndevu?
 
Kuna dawa huwa wanakunywa inaitwa "ORUKUANYIRI"hii mzee baba ni noma yaani inapukutisha ndevu kama haina akili......na siyo ndevu tu mpaka MA*****ZI inapukutisha.......[emoji16][emoji16][emoji16]
Hiyo dawa haipukutishi nywele za kichwani?!
 
Wakiwazaa wanawaua kabla public haijashuhudia!
Hii ilikuwepo kwenye mila za jamii nyingi za hapa na hata kwingine huko Africa.

Sema zimeenda zikipotezewa kadri siku zinavyoenda, hata hao Wamasai kwa sasa wapo Albino kibao tu mbona.
 
Mchango wangu unatoka nje kidogo ya mada,siku moja tunangojea usafiri majira ya 1 asubuhi pembeni kuna jamaa anauza matikiti maji ile kula kipande nikahisi tumbo limepigwa ganzi ikabidi nihairishe ila kuna masai alimaliza tikiti zima,hawa jamaa hatari sana.

Ni asili tu zipo jamii nyingi ambazo watu wake hawaoti ndevu
 
Kuna dawa huwa wanakunywa inaitwa "ORUKUANYIRI"hii mzee baba ni noma yaani inapukutisha ndevu kama haina akili......na siyo ndevu tu mpaka MA*****ZI inapukutisha.......[emoji16][emoji16][emoji16]
Ila nywele kichwani inaacha...? Embu toa uongo wako hapa
 
Ila nywele kichwani inaacha...? Embu toa uongo wako hapa
Mkuu nywele kichwani huwa wanapaka udongo uliyochanganywa na dawa unaitwa "MURONG'OTI"
Hivyo wanaanzaga kwanza kupaka "MURONG'OTI" kisha ndo wanapiga kitu ya "ORUKUANYIRI",kumbuka maasai wanathamini sana nywele za kichwani kuliko za sehemu nyingine ya mwili
 
Mkuu nywele kichwani huwa wanapaka udongo uliyochanganywa na dawa unaitwa "MURONG'OTI"
Hivyo wanaanzaga kwanza kupaka "MURONG'OTI" kisha ndo wanapiga kitu ya "ORUKUANYIRI",kumbuka maasai wanathamini sana nywele za kichwani kuliko za sehemu nyingine ya mwili
Labda hapo inaleta akili.. Ila kusema wanakunywa alafu kichwani zinabaki kihalisia haileti akili kabisa
 
Back
Top Bottom